Ndugu zangu, ninaomba kujua ma Rais wanaoheshimika sana Afrika (hata kama ni wastaafu); wa kwanza hadi wa mwisho. Wasioheshimka wasiandikwe hapa. Naomba tutoe na sababu za (michango yao au ubunifu wao) kuheshimika kwao na ikibidi CV zao.
Kama huna hoja (uthibitisho wa unayoyasema), usichangie au kuchakachua hapa. Ushabiki hautakiwi.
Nafikiria kuwa, kila mwaka ma Rais hawa tuwape tuzo (au kuomba wapewe tuzo) za heshima hata kama wakiwa wameshazipata tayari. Wa kwanza hadi wa Tatu wapewe wakati wa Mkutano Mkuu wa nchi za Afrika.
Tunaweza kutoa vigezo: mfano (1) Elimu yao (2) Uwezo wa kuongoza na maamuzi yasiyoyumba, (3) Uzalendo na utayari wao wa kusaidia watu wao (4) Hotuba zao, (5) Machapisho yao, (6) Mchango wao kwa Afrika na watu wa nchi zao, nk
Je, vigezo hivi vinafaa? Kama havifai au vinahitaji kurekebishwa, naomba tufanye hivyo kwa NIA NJEMA kwa ajili ya Taifa letu na Afrika yetu. Tunaweza kutumia taarifa hizi kama Role model kupata marais kwenye nchi zetu za Afrika kwa siku za usoni, kama italazimika kufanya hivyo......
Kama huna hoja (uthibitisho wa unayoyasema), usichangie au kuchakachua hapa. Ushabiki hautakiwi.
Nafikiria kuwa, kila mwaka ma Rais hawa tuwape tuzo (au kuomba wapewe tuzo) za heshima hata kama wakiwa wameshazipata tayari. Wa kwanza hadi wa Tatu wapewe wakati wa Mkutano Mkuu wa nchi za Afrika.
Tunaweza kutoa vigezo: mfano (1) Elimu yao (2) Uwezo wa kuongoza na maamuzi yasiyoyumba, (3) Uzalendo na utayari wao wa kusaidia watu wao (4) Hotuba zao, (5) Machapisho yao, (6) Mchango wao kwa Afrika na watu wa nchi zao, nk
Je, vigezo hivi vinafaa? Kama havifai au vinahitaji kurekebishwa, naomba tufanye hivyo kwa NIA NJEMA kwa ajili ya Taifa letu na Afrika yetu. Tunaweza kutumia taarifa hizi kama Role model kupata marais kwenye nchi zetu za Afrika kwa siku za usoni, kama italazimika kufanya hivyo......