Ma-HR wa kitanzania acheni uvivu na jaribuni ku-act more professional ,
1- unakuta wanatangaza 1 post kwa uvivu wao wa kuchambua cv's zaidi ya watu 10 kwenye nafasi 1, wengine wali apply hata vigezo hawakidhi mayb ni kutokana na ugumu wa ajira mtu anaamua kubahatisha tu , lakini naamini ni wajibu wao kuchuja na kuita wanaostahili tu. acheni kuwapotezeaq vijana timing, wanatumia mda mwing sana kujiandaa na kufanya research ikiwemo maswali kibao ndani ya jamii forum thn bilabila
2- watu wanafanya interview zaidi ya 1 (i.e written interview, oral interview, microsoft office test, work related interview or test, final interview with expected boss , hapo bado refferees hawajatiliwa timu na background scanning ndo uende uambiwe salary laki 5 Gross - benefit morning tea bila kitafunwa, news paper bt hakuna kusoma mda wa kazi na hakuna kuondoka nalo, medical benefit less than 1ml per year up 2 4kid - punguzeni huo mlolongo na tangazeni salary na benefit zote if that job hamkotayari ku- bargain
3- Mtu anafanya utitiri wa interview, walianza wakiwa 100, mpaka wanabaki 2 , thn ghafla kimyaaaaaaaaaaa! lol! mda wote alio poteza mnaona hadiserve ata feedback ya interview outcome via mail km unaona simu gharama... iyo ni abuse kwa job seekers , tendeni haki
ni mtazamo tu mnakaribishwa kwa maoni na challenge
1- unakuta wanatangaza 1 post kwa uvivu wao wa kuchambua cv's zaidi ya watu 10 kwenye nafasi 1, wengine wali apply hata vigezo hawakidhi mayb ni kutokana na ugumu wa ajira mtu anaamua kubahatisha tu , lakini naamini ni wajibu wao kuchuja na kuita wanaostahili tu. acheni kuwapotezeaq vijana timing, wanatumia mda mwing sana kujiandaa na kufanya research ikiwemo maswali kibao ndani ya jamii forum thn bilabila
2- watu wanafanya interview zaidi ya 1 (i.e written interview, oral interview, microsoft office test, work related interview or test, final interview with expected boss , hapo bado refferees hawajatiliwa timu na background scanning ndo uende uambiwe salary laki 5 Gross - benefit morning tea bila kitafunwa, news paper bt hakuna kusoma mda wa kazi na hakuna kuondoka nalo, medical benefit less than 1ml per year up 2 4kid - punguzeni huo mlolongo na tangazeni salary na benefit zote if that job hamkotayari ku- bargain
3- Mtu anafanya utitiri wa interview, walianza wakiwa 100, mpaka wanabaki 2 , thn ghafla kimyaaaaaaaaaaa! lol! mda wote alio poteza mnaona hadiserve ata feedback ya interview outcome via mail km unaona simu gharama... iyo ni abuse kwa job seekers , tendeni haki
ni mtazamo tu mnakaribishwa kwa maoni na challenge