BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,043
- Thread starter
- #201
Haha stress itoke wapi since ni kazi mbovu meanz hakuna wanaume wataevutika nae kwaiyo hata akipita mtaani hakuna miruzi "we una owa demu kama sanchoka si una tafuta kufa mapema kwa stress mkuu ' maana mda wote mapaka shume na ma papaa yanakuwa yana mwinda mkeo walau ya muonje tu sasa hapo utakuwa umefanya nn
Daah
Sent from my iPhone using JamiiForums