BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,218
- 39,047
Wale wanaume mahandsome boys aka Hb's, masharobaro, matozi, mabishoo nk. Jaman bila ubish hawa watu wanakula kazi mbovu sana "madem wabaya" huku mijini kias kwamba demu huyo hta nipewe bure me sitoweza.
Kama huamin ww jaribu siku kufuatilia utaamin haya nayosema ni wachache sana ambao wanatoka na madem wakali ila weng wao wanakula kazi mbovu sana.
Je ni kwamba dada zetu hawapendi ma Hb?? Masharobaro??. Je kwann ma hbs wanashindwa kula madem wakali? Au ndo mafahali wa2 hawakai zizi moja??
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kama huamin ww jaribu siku kufuatilia utaamin haya nayosema ni wachache sana ambao wanatoka na madem wakali ila weng wao wanakula kazi mbovu sana.
Je ni kwamba dada zetu hawapendi ma Hb?? Masharobaro??. Je kwann ma hbs wanashindwa kula madem wakali? Au ndo mafahali wa2 hawakai zizi moja??
Sent from my iPhone using JamiiForums