PMWAKA
Senior Member
- Aug 29, 2019
- 191
- 206
Kama mada ilivohapo juu, nilianza kuumwa siku kama na nikaenda kupima majibu yakaja nina Malaria, lakini kadri nikinywa dawa nilizopewa ma kumeza ,mala mdomo na mate vikawa tasteless kila food nakiona kibaya, mwili ukaanza kuishiwa nguvu hadi sasa siwezi simama hata kwa takika 5 hivyo nikastop kwenda kazini, sasa swalla kubwa zaidi hapa ni sijapata usingizi for 12 days, yani ni ile nalazimisha kua kama nimelala ila ubongo uko active and i can feed it sasa ubongo umekua kama ebust, watu hawajajua but siwasikii tena vizuri wakiniongelesha, hata nikiwa nawauliza nawauliza vizuri, nimerudi tena hospital sijapewa anything ya kutibu. Naweza tumia dawa za usingizi? sababu nitakufa.
Samahani kama kuna any typping errors ni vile nimendika mikono haina nguvu inatetemeka
Samahani kama kuna any typping errors ni vile nimendika mikono haina nguvu inatetemeka