ha ha ha h a...kaka hakika nakuhakikishia CDM inakwenda kuiteka Zenji..tunatarajia hizi vuguvugu za mabadiliko zitakwenda mpaka huko..ila wazanzibar wamechoka na CCM na CUF yao, kwanza wanaona wao ndio wanakumbatia muungano, na habari za CDM wanazo jinsi wanavyotaka muungano uwe, na wao wanataka ivo ivo, soon CDM inakwenda kuwashika.. Uchaguzi wa mwishoni BUBU, cdm walishika nafasi ya 2 , ccm B ya 3..hizo ni salamu tosha
kweli system at work..yaani linalokuja mdomoni tu unalitema ..mkutano wa jangwani na kuchomwa makanisa unajaribu kuunganishaje dot?...ile mihadhara yote ya uamsho hukuiona ?? nenda youtube kuna clip zote na zile za mfumo kristo
kweli system at work..yaani linalokuja mdomoni tu unalitema ..mkutano wa jangwani na kuchomwa makanisa unajaribu kuunganishaje dot?...ile mihadhara yote ya uamsho hukuiona ?? nenda youtube kuna clip zote na zile za mfumo kristo