M4C-OPD kutikisa ndani ya Ngudu - Kwimba

M4C-OPD kutikisa ndani ya Ngudu - Kwimba

nhobola ye2

Member
Joined
Dec 22, 2013
Posts
24
Reaction score
1
Mh. John Mnyika na kikosi chake watakuwa katka viunga vya mji wa wasukuma Ngudu.

iKada wa CHADEMA aitwaye Kazimi (painter) anatembea na gari la matangazo kuwajulisha wana-nchi wote kinachoendelea.

Update mtazipata kuanzia sasa.update 2 naona makamanda wa red briged wako tayari,watu wanaanza kulejea kwa makundi huku mc kazili (painter) anahabarisha watu juu ya nn knaendelea amakweli kumependeza sana.police na usalama wa ccm nao wanalandalanda'mansul tumbo joto'tutazd kujuzana wadau
 
Safi sana,wasisahau kupita Malya,Sunve,Magu,Maswa,Bariadi,Meatu,Kishapu,etc
 
tupo pamoja daima,nadhani nasi tutakuwa wote Furahisha jioni ya leo!!!!
 
haaa leo wameenda kwa mansuri?
aisee hata pale Ungumarwa watu wana hamasa sana na hawajawahi kupata mkutano hata mmoja wa kitaifa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom