Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,033
Mbona husemi tabata gani mkuu nilihudhuria mkutano wa tabata shule watu walikuwa wengi sana yawezekana kwa sababu zako binafsi uliamua kupiga picha mapema sana kabla ya mkutano ili uje hapa jamvini kutupotosha ole wako wewe upotoshaye leo kwan 2015 utalia na kusaga meno
Mbona husemi tabata gani mkuu nilihudhuria mkutano wa tabata shule watu walikuwa wengi sana yawezekana kwa sababu zako binafsi uliamua kupiga picha mapema sana kabla ya mkutano ili uje hapa jamvini kutupotosha ole wako wewe upotoshaye leo kwan 2015 utalia na kusaga meno
Kwani Lema anahutubia nini kwenye hiyo mikutano kila siku?
Toa uchafu wako hapa.
Mwenye macho hambiwi Tazama!Naukiona mtu anajikuna ujuwe anawashwa!Nadhani alianzisha hii thread ameelewa?
Kwani Lema anahutubia nini kwenye hiyo mikutano kila siku?
Nyomi la kufa mtu hakuna kulala mpaka kieleweke.
Kwani Lema anahutubia nini kwenye hiyo mikutano kila siku?
Lema si ana taaluma yake?
Chama
Gongo la mboto DSM
Nyomi la kufa mtu hakuna kulala mpaka kieleweke.