Mbona husemi tabata gani mkuu nilihudhuria mkutano wa tabata shule watu walikuwa wengi sana yawezekana kwa sababu zako binafsi uliamua kupiga picha mapema sana kabla ya mkutano ili uje hapa jamvini kutupotosha ole wako wewe upotoshaye leo kwan 2015 utalia na kusaga meno
Mbona husemi tabata gani mkuu nilihudhuria mkutano wa tabata shule watu walikuwa wengi sana yawezekana kwa sababu zako binafsi uliamua kupiga picha mapema sana kabla ya mkutano ili uje hapa jamvini kutupotosha ole wako wewe upotoshaye leo kwan 2015 utalia na kusaga meno
Anasema anataka kuwakomboa Wananchi wakimuliza unatukomboa kivipi anasema hakuna kulala mpaka kieleweke wao wana pesa siye tuna mungu, kwa kweli aeleweki.
Nimekuja kuamini kuwa chadema kwa Dar es salaam ni kama kuchora kwenye maji
Naona lema anaangaika Dar kukusanya watu alikini anatoka patupu sijui inakuwaje
chama hakikubaliki Dar es salaam
Hebu angalia hizo picha za Lema akiwa Tabata akihutubia watu
Nimekuja kuamini kuwa chadema kwa Dar es salaam ni kama kuchora kwenye maji
Naona lema anaangaika Dar kukusanya watu alikini anatoka patupu sijui inakuwaje
chama hakikubaliki Dar es salaam
Hebu angalia hizo picha za Lema akiwa Tabata akihutubia watu
Aibu tupu, hii inathibitisha kuwa wamekuwa wakisomba watu na sasa hela za kuwasomba hao watu zimekata kwa hiyo ni kwenda kichwakichwa ili angalau kuambulia posho a.k.a ruzuku. Gazeti la Mwananchi hawawezi kutoa picha kama hizi zinazoonyesha udhaifu wa chama wanachokiunga mkono kama ilivyo gazeti la Tanzania Daima. haaa ahaaaa! Naona watu wamebaini uhuni wa hiki chama.