maguzu masese
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 283
- 139
Wanachama
zaidi ya elf moja na viongozi saba wa ccm kutoka kata za Ngwamashimba,Nyamilama wamehamia chadema ndani ya siku nne za operation inayopigwa vijiji vinne hadi vitano kila siku kwa siku kumi na tano.
Janga kubwa lilitokea jana baada ya mzee maarufu bwana Kwiyuka wa Mwanega ambaye ni mwenyekiti wa kijiji na wafuasi wake wa vitongoji kutupa kadi na bendera za ccm hadharani.
Kiongozi mwingine ambaye ni Charles Edward mjumbe wa serikali ya kijiji Hungumalwa C alitema cheche baada ya kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ya uenyekiti wa mipango na fedha,leo ni kata ya llula.
zaidi ya elf moja na viongozi saba wa ccm kutoka kata za Ngwamashimba,Nyamilama wamehamia chadema ndani ya siku nne za operation inayopigwa vijiji vinne hadi vitano kila siku kwa siku kumi na tano.
Janga kubwa lilitokea jana baada ya mzee maarufu bwana Kwiyuka wa Mwanega ambaye ni mwenyekiti wa kijiji na wafuasi wake wa vitongoji kutupa kadi na bendera za ccm hadharani.
Kiongozi mwingine ambaye ni Charles Edward mjumbe wa serikali ya kijiji Hungumalwa C alitema cheche baada ya kujiuzulu nafasi zake zote ikiwemo ya uenyekiti wa mipango na fedha,leo ni kata ya llula.