Watawala wa nchi za Afrika hususani Ukanda huu wa Afrika Mashariki hawana uwezo wa kuwaalika watu wa M23.
Ukichunguza kwa umakini Sana utagundua kwamba kwenye kila nchi ya Afrika kuna watu wa 'M23.'
Hakuna nchi hata moja ya Afrika ambayo inaweza kujinasibu kwamba hakuna makundi au Jamii za watu wa 'M23.'
Niliona leo al jazeera wakisema madini kutoka nchi ya waasi ambao hawana mgodi yameongezeka kuuzwa duniani maradufu, ni kweli jamaa wanavuna huko drc namba hazidanganyi, it is a fact
Niliona leo al jazeera wakisema madini kutoka nchi ya waasi ambao hawana mgodi yameongezeka kuuzwa duniani maradufu, ni kweli jamaa wanavuna huko drc namba hazidanganyi, it is a fact