MBOKA NA NGAI
JF-Expert Member
- Jan 31, 2025
- 496
- 768
Bukumbirwa, Rusamambu, Kilambo et Ngengere (Walikale, Ikobo) chini ya AFC/M23 tena. Ni baada ya mapigano makali baina ya M23 na jeshi la serikali ya DRC na washilika wake huko Kivu Kasikazini.
Kama wana nia njema acha tu washindeBukumbirwa, Rusamambu, Kilambo et Ngengere (Walikale, Ikobo) chini ya AFC/M23 tena. Ni baada ya mapigano makali baina ya M23 na jeshi la serikali ya DRC na washilika wake huko Kivu Kasikazini.
Hahahahaha, kama ulikuwepo. Baada ya hapo, mji unaoeleweka ni huo huo. Na si kwamba wakimaliza, washikaji ngoma wanaielewa, hakika mpaka sasa badhi walishatangulia.Duh kama wamekaa hapo Walikale uelekeo usije ukawa Kisangani.
Siyo rahisi kihivo. Ujue mchina na Mrusi na wenyewe wapo. Anachokitaka Trump, Xi na Putin na wenyewe hicho hicho wanakitaka. Na nchi nyingine kina Qatar ujue hawajabaki. Mu Israel unadhani siraha zake anatengenezea vitu kutoka wapi?Mpaka Trump atoe neno! Hahaha
Mkuu vip hizi habari za kusema kuwa for now wale wote waliokuwa karibu na kabila hasa viongozi wanatekwa, kuondolewa kinga kama wanazo hasa swahil and kirwanda speakers wanafungwa, na kuuawa na next stop itakuwa kwa Moise Katumbi, hii imekaaje?Siyo rahisi kihivo. Ujue mchina na Mrusi na wenyewe wapo. Anachokitaka Trump, Xi na Putin na wenyewe hicho hicho wanakitaka. Na nchi nyingine kina Qatar ujue hawajabaki. Mu Israel unadhani siraha zake anatengenezea vitu kutoka wapi?
Kumbuka, rais mstaafu baada ya kuvuliwa mamlaka na ulizi wa kishelia, sasa hivi ni kama raia wengine, tena anaetafutwa sasa. Na yeye huko kwenye ngazi za uongozi, ana watu wake, na hawapo tayari kumsaliti. kwa kifupi, ni vurugu mechi
Japo umechanganya, ila kuna kaukweli ndani yake.Mkuu vip hizi habari za kusema kuwa for now wale wote waliokuwa karibu na kabila hasa viongozi wanatekwa, kuondolewa kinga kama wanazo hasa swahil and kirwanda speakers wanafungwa, na kuuawa na next stop itakuwa kwa Moise Katumbi, hii imekaaje?