Nadhani hawa wenye makampuni inabidi wawe makini wakiwa wanawatoa watu kwenye makampuniMkuu wafanya kazi wa makapuni mengi hufanya hvyo, kuna mama wa dada mmoja tinafanya kazi wote baada ya kustaf alikuwa anataka kutapeliwa na mfànya kazi wa mfuko wa hifadhi ya jamiii husika
KabisaNadhani hawa wenye makampuni inabidi wawe makini wakiwa wanawatoa watu kwenye makampuni
YesWizi mtupu
HatariTigo ndo wamekubuhu
Eti wanchunguzaHawa jamaa ni kweli wanaelekea kwenye utapeli, nilikosea kutuma 1.5ml wakaniambia itarudi baada ya siku 4,hivi mpaka siku nne hiyo hela huwa wanaifanyia nini?