Nimejifunza kwamba M-Pesa Mastercard inazngua Alibaba nimejaribu inagoma tu
Ngoja nikatafute tu Equity Card yangu
Update:Nimerudi equity aisee jamaa wapo
yaani nimekata kadi hapo hapo na kufanya miamala hapo hapo najuta week zangu 3 nilizopotewa na mpesa MasterCard nimekoma na sitorudia utopolo ule tena....