Hilo linchi ni likubwa sana, management imeshawashinda serikali ya DRC, AU wameshindwa kutoa msaada, M23 anatamba day and night.
Serikali ya DRC haina lakufanya zaidi ya kutegemea huruma ya maharamia.
Binafsi nimekuwepo Goma, Masisi, Bunagana, Bukavu, Rutshuru, kabare, nyiragongo, walikale, Buluko, kalehe, lubero nk. Hili linchi likubwa sana waligawe tu mambo yaishe.