wakuu wale wenzangu mliosoma lutengano tujoin hapa kwa mastori ya wakati huo tupo shule,mimi nilimaliza form iv pale mwaka 2000 mkuu akiwa mzee MINGA,makamu wake MAMA MAHEMBE,discpline MWAFULILWA,wewe ulimaliza mwaka gani?
Mimi nilimaliza 2006, mkuu akiwa mama Mahembe makamu, Mwafulilwa, discpline Kibona, taaluma …… da nimemsahau but maarufu kama baba shuku, mhasibu, mwanjuni na Secretary mama mwaisunga
Mimi nilimaliza 2006, mkuu akiwa mama Mahembe makamu, Mwafulilwa, discpline Kibona, taaluma …… da nimemsahau but maarufu kama baba shuku, mhasibu, mwanjuni na Secretary mama mwaisunga
wakuu wale wenzangu mliosoma lutengano tujoin hapa kwa mastori ya wakati huo tupo shule,mimi nilimaliza form iv pale mwaka 2000 mkuu akiwa mzee MINGA,makamu wake MAMA MAHEMBE,discpline MWAFULILWA,wewe ulimaliza mwaka gani?
Mimi nilimaliza 2006, mkuu akiwa mama Mahembe makamu, Mwafulilwa, discpline Kibona, taaluma …… da nimemsahau but maarufu kama baba shuku, mhasibu, mwanjuni na Secretary mama mwaisunga