Lusinde na ujasiri

tata mugaka

Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
47
Reaction score
6
Hivi matusi ya Lusinde ndio ujasiri ? lkn wakati mwingine huyo bwana ni kichaa na hivi aliye sema asbh kuwa yy ni jasiri ni nani? naombeni majibu yenu.
 
Kijana anapagawa maana jimboni hana alicho fanya kule analeta porojo,mzee malecela kasuka mtandao wa kumpanda jamaa kada maarufu wa ccm jimboni mtela,sasa anahaha kutafuta sifa mbadala ili akimwagwa apewe udc
 
Mnyonge mnyongeni, haki yenu mpeni, leo alichosema Kibaj, nimemkubali sana!.
Pasco
 
Wengine walijaliwa vipaji,na wengine laana.

Lusinde hayuko sawa kichwani.
 
hivi aliye sema asbh kuwa yy ni jasiri ni nani? naombeni majibu yenu.[/QUOTE]

Alikua ni mtikila
 
Tujuzeni jamani kasema nini?

Kasema mengi ila suala la ujasiri inaonekana kuna mjumbe kikao cha asubuh alijinadi kama ye ndo jasiri Tz lakini Lusinde alikuwa anamsahisha akumbuke kuna wanajeshi wamekufa kw ujasiri wa kutetea nchi na hata Mungu angekuw wa ajabu kuleta jasiri mmoja tu Tz
 
Lusinde anawashangaa wazee kwa uwoga wa kushindwa kuitetea nchi yao (Tanganyika) kwa kumuogopa mwl. Nyerere wamesubiri had amekufa ndo wanakuja kuitetea anasema sasa ye ndo mwalimu
 
Tujuzeni jamani kasema nini?

Kaongea sana kama kameza PM3, kifupi ametetea kura ya wazi. kasema yeye ni jasiri sana na kawalaumu wanaotaka kura ya siri. Kaongea mengi mno hadi kutolea mfano wa ujinga wa mtu anayekunya porini, anaelekeza nyuma yake porini kwenye simba kwa kuwaogopa binadamu wanaopita njiani ambao hawana mdhara kuliko simba alompa mgongo
 
acheni ushuzi mtikila ndio katoa hiyo kauli kwamba hakuna mtu jasiri kama yeye.wewe lumumba usimtafutie umaarufu wa bure huyu hewaa
 
katoa mfano wa mtu anajisaidia porini,mpaka nimechoka

Mzee hata mimi nimechoka, kwamba mtu unajisaidia porini unageuzia mgongo porini ambako kuna simba na macho unaangalia njiani! Ina maana unaogopa watu kuliko simba!
 
Tujuzeni jamani kasema nini?
Kasema hivi:,Unapoenda Porini kujisadia, unaelekeza mgongo kwenye Simba na macho yako wanakopita watu kwa kuwa unawaogopa huku ukisahau kule ulikoelekeza mgongo anaweza kutokea simba! Wazee mlioacha Tanganyika ikafa imekula kwenu. Mliacha Mwalimu kafa eti leo ndio mnaitaka hakuna tanganyika hapa. Kila mtu katumwa na atafanya kwa wazi alivyotumwa. Mwisho anayejiita jasiri kuliko wote Bongo alimsave alipopigwa Tarime wakati huo akiwa katibu wa chama.
 
Tujuzeni jamani kasema nini?

Kasema hvi unapoenda kujisadia porini unaelekeza mgongo penye simba macho wanakopita watu ukisahau huko ulikoelekeza mgongo ni hatari zaidi. Wazee kama mliacha Tanganyika ikafa imekula kwenu.Mmesubiri Nyerere kafa ndio mnadai Tanganyika haitatokea ngo! Yule aliyedai jasiri kuliko wote bongo amlisave alipopigwa Tarime yeye akiwa katibu wa chama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…