Peter Kibatara ambaye ni mmoja wa wanasheria wanaomtetea lulu ni mwanasheria wa chadema pia, kumbuka ndo alikuwa anamtetea mpendazoe kule kwa makongoro mahanga, atakuwa ndiye alompa huo mkoba,
Kama kawaida ya vigeugeu leo kisa kimkoba cha kwao kawa mzuri, hebu pekueni kuna uzi unasema lulu anataka kwenda UK kumfata Justin bieber ili muone unafiki wenu vigeugeu nyie
ahame chama cha presidar wake aliyemporomoshea mjengo kimara, nyumba itakwisha kweli??? mambo ya peramiho na kati ya songea! chezeiya mheshimiwa mbunge weye?? kazi ipo wallah! ila katoto mashaallah!
ahame chama cha presidar wake aliyemporomoshea mjengo kimara, nyumba itakwisha kweli??? mambo ya peramiho na kati ya songea! chezeiya mheshimiwa mbunge weye?? kazi ipo wallah! ila katoto mashaallah!
[SUB][/SUB]Inajulikana kwamba mwanamke huuchosha mwili kwa kuwa na wanaume zaidi ya mmoja. Kwakukaa jela amerudisha mg'ao wa ngozi na urembo. Nahisi hii kwake itakua si tu ni fundisho bali a blessing in disguise. She could have expired by now with a supersonic speed she was moving with....
[SUB][/SUB]Inajulikana kwamba mwanamke huuchosha mwili kwa kuwa na wanaume zaidi ya mmoja. Kwakukaa jela amerudisha mg'ao wa ngozi na urembo. Nahisi hii kwake itakua si tu ni fundisho bali a blessing in disguise. She could have expired by now with a supersonic speed she was moving with....