akizungumza na ITV muda huu, waziri wa nchi maswala ya bunge mh. William Lukuvi, amesema ndani ya bunge huwa kuna caucas mbalimbali za kivyama. Amesema wao kama chama tawala hujifungia kuzungumzia maendeleo ya taifa, na vyama vya upinzani hujifungia kupanga kuzomea na kuleta vurugu bungeni, pale serikali na chama tawala wanapoleta hoja nzito.
Nadhani nahitaji kujua akili za hawa viongozi tulionao..
is it fact????