ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,128
- 49,863
Serikali Kupitia Mwigulu na Mbarawa jibuni hoja za Mpina.
Inakuwaje Sgr progress ni kidogo kiasi hiki kama taarifa za Mpina ni sahihi.?
Pesa mnalipa kweli Kwa mkandarasi au Sgr sio kipaombele?
Walinda ligacy wanataka Sgr Yao 🤣🤣🤣🤣
---
Mpina akichangia hoja hiyo anasema:
"Hivi sababu ya Lot (kipande ) 3 ya Reli ya Kisasa (SGR) kuwa asilimia 12 ni nini? na Lot 4 kuwa asilimia 5 ni nini kwenye miaka miwili hadi mitatu ya mkataba wakati huo lot 6 ni asilimia 0.29.
Ufadhili wa miradi ukoje?"
Inakuwaje Sgr progress ni kidogo kiasi hiki kama taarifa za Mpina ni sahihi.?
Pesa mnalipa kweli Kwa mkandarasi au Sgr sio kipaombele?
Walinda ligacy wanataka Sgr Yao 🤣🤣🤣🤣
---
Mpina akichangia hoja hiyo anasema:
"Hivi sababu ya Lot (kipande ) 3 ya Reli ya Kisasa (SGR) kuwa asilimia 12 ni nini? na Lot 4 kuwa asilimia 5 ni nini kwenye miaka miwili hadi mitatu ya mkataba wakati huo lot 6 ni asilimia 0.29.
Ufadhili wa miradi ukoje?"