Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,128
- 1,497
- Thread starter
- #21
Dah. Hakuna usawaPrecisely 100%.
Dah. Hakuna usawaPrecisely 100%.
Atasema Kidumuuuuu!!!!Hahahaha mkuu umeuwa....vipi mwenye gari akisema kidumu chama cha mapinduzi, unadhani aliyelala atajibu nini
Lakini dini ni imani mkuu. Kunawimbo tunaongozagwa wakati wa matoleo unasema.......toa ndugu toa ulichonacho.......Ukweli mtupu, yaani wapiga kura wa kiafrika ni sawa na waumini wa haya makanisa ya wokovu/kisanii ambapo unaona mchungaji ni tajiri kinoma ila waumini hawana hata hela ya kupanda daladala kurudi makwao.
Lakini dini ni imani mkuu. Kunawimbo tunaongozagwa wakati wa matoleo unasema.......toa ndugu toa ulichonacho.......
Ndo maana niliamua kuwa sitakuwa mpiga kura tena katika chaguzi za kisiasa, nitapiga kura tu kuchagua viongozi kikanisa kama mwenyekiti wa kwaya au mwenyekiti wa vijana na kadhalika.Kuna ka ukweli hapo
Kumbe politician ni rais?ni kweli kwa marais wote, rais wa TFF, Chama cha masumbwi, rais wa chama cha upinzani ( kama mbowe) n.k
Mbona wapo mkuu na wengine mf J. Maghembe, Shabiby, au J. MhagamaNi ukweli ..kuna mwanasiasa gani yuko kwa ajili ya wananchi?
So far had sasa namuona Lissu peke yake ndie amechukua maumiv ya watanzania wenye maumivu moyoni
Mkuu wewe ndo unakwamisha maendeleo yetuNdo maana niliamua kuwa sitakuwa mpiga kura tena katika chaguzi za kisiasa, nitapiga kura tu kuchagua viongozi kikanisa kama mwenyekiti wa kwaya au mwenyekiti wa vijana na kadhalika.
Hahaah mkuu unakajua vema haka kawimbo. Basi ukiimbwaga huu najikuta NATOA 10 yaani dah"....Ulichonacho wewe, bwana anakuona mpaka moyoni mwako."
Tazama tu Mbowe anatembelea vx la Serikali Na kula ruzuku ya Sacco's wakati makamanda njaa Kali pale UfipaDah it's not fair mkuu
Sikia boss, ninyi wapiga kura ni maendeleo gani mshaleta tangu muanze kupiga kura? Unachagua mtu ambae wala hatachangia kuongezeka kwa mkate wako?Mkuu wewe ndo unakwamisha maendeleo yetu
Duh VP ndugai nae na wapiga kura wake? VP Unaweza nipa ufafanuzi wa hali ya maisha kati watu wa Knjaro na Kongwa au Geita mkuu?Tazama tu Mbowe anatembelea vx la Serikali Na kula ruzuku ya Sacco's wakati makamanda njaa Kali pale Ufipa
Ni kweli mkuu100% PERFECT
Rais wa manzese, Rais wa wasafini kweli kwa marais wote, rais wa TFF, Chama cha masumbwi, rais wa chama cha upinzani ( kama mbowe) n.k
Je akisema ccm safi? Huyo aliyelala ataitikiajeAtasema Kidumuuuuu!!!!