Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,128
- 1,497
Wadau ebu nielimisheni. Je, ni kweli hii?
Dah it's not fair mkuuKuna ka ukweli hapo
Hapa hajasemwa raisi bali mwanasiasa labda kama lugha imepita kushotoni kweli kwa marais wote, rais wa TFF, Chama cha masumbwi, rais wa chama cha upinzani ( kama mbowe) n.k
Mwenye nacho mkuu...Kiukweli maisha hayako sawa tutatofautiana tuu hadi siku ya mwisho
Afu tukiwapa kura wanarudi na vitambiKapo kwa kweli
Duh. Hii hatari. Presidaa wa TfF yupo keko eti auni kweli kwa marais wote, rais wa TFF, Chama cha masumbwi, rais wa chama cha upinzani ( kama mbowe) n.k
kichwa kibovu huyo kakurupukaHapa hajasemwa raisi bali mwanasiasa labda kama lugha imepita kushoto
Hii ni hatari sana..Kweli aisee
Hahahaha wakati huo wapiga kura tunazidi kuwa frat tu.Afu tukiwapa kura wanarudi na vitambi
Hahahaha mkuu umeuwa....vipi mwenye gari akisema kidumu chama cha mapinduzi, unadhani aliyelala atajibu niniHuyo Mwenye hiyo Gari ya juu huwa anasema CCM Oyeeeeee!
Then huyo aliyelala chini ndo huwa anaitikia kwa nguvu Oyeeeee!????
Ndo wanaume was Dar walivokichwa kibovu huyo kakurupuka
Tujuze mkuu. Wamesemajembowe na mama lwakatare wanasemaje?