Lugha ya picha. Je, kuna ukweli wowote?

Lugha ya picha. Je, kuna ukweli wowote?

Kipapatiro

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2017
Posts
1,128
Reaction score
1,497
Wadau ebu nielimisheni. Je, ni kweli hii?


IMG-20171031-WA0000.jpg
 
Kiukweli maisha hayako sawa tutatofautiana tuu hadi siku ya mwisho
 
ni kweli kwa marais wote, rais wa TFF, Chama cha masumbwi, rais wa chama cha upinzani ( kama mbowe) n.k
 
Huyo Mwenye hiyo Gari ya juu huwa anasema CCM Oyeeeeee!
Then huyo aliyelala chini ndo huwa anaitikia kwa nguvu Oyeeeee!????
Hahahaha mkuu umeuwa....vipi mwenye gari akisema kidumu chama cha mapinduzi, unadhani aliyelala atajibu nini
 
Back
Top Bottom