Manyi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 3,253
- 604
Labda upeo wangu unaweza kuwa mdogo,lakini nikiwa nimezaliwa na kuwa kwenye maeneo ya kijeshi ninavyojua ni kwamba hizo hospital zimejengwa kwenye kambi za jeshi ili kuhudumia wanajeshi na familia zao kwasababu zipo ndani ya vikosi vya jeshi ambapo kuna siri kubwa kwa raia wa kawaida haruhusiwi kuingia anavyotaka,Sasa kuiweka hiyo hospitali ya lugalo kuwa ya Rufaa inamaanisha nini kuwa Raia wote dwataruhusiwa kwenda hapo je siri na unyeti wa jeshi upo wapi?au hiyo Rufaa ni kwa jeshi tu?tunaangamiza ulinzi na usalama wa nchi hiyo ni taasii nyeti sana ila siasa zitatumaliza,hiyo sio njia ya kutatua tatizo!!!
Nakubaliana na wewe isipokuwa kitu kimoja tu; Hospitali za jeshi zinahudumia wanajeshi, familia zaio, viongozi wa serikali na Raia wanazunguka jeshi maeneo hayo. Binafsi nimetibiwa sana hospitali ya Lugalo nikitokea Kawe!