Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 49,766
- 68,905
Uraia si km mkojo kwamba ukinywa maji tu unatoka
Hhhhhaaaaaaa maninaa nimechekaaaa balaaaa
Uraia si km mkojo kwamba ukinywa maji tu unatoka
kama ni kwa experience so unatakaje?? Unawashwa unatafuta mkunaji siyo/????? bint kqa mbali na mimi sio type yako.
Haujaisha ila nikiwa kwenye kisimu sina option ya wino ....
kokuhilwa me naamini lucy angenyamaza kimya haya yote yasingemkuta. Anajiharibia mwenyewe kwa kupiga watu madongo, hajui kama kuna watu kuwachamba watu wengine huko insta n.k ndo ajira yao. At the end of the day anajiharibia tu heshima yake aliyoijenga miaka mingi tu. Acha watu waseme, kwani maneno kitu gani? Afu siku hizi maneno hadi kwenye keki mbona. Anaact as if hakutegemea kuolewa au kaolewa ili kuwafunga watu midomo eeeh
Sheria mkishafunga ndoa unarudi nchini kwakokwa miezi 3 Kama sikosei then ndio uingie Denmark full. Hata inhefungiwa denish land bado angerudi Tz kwa mda ndio arudi. Sasa hapo ndo Kama bwana au big harusi huna msimamo MTU anaweza achwa. Huwa wazungu wenzake huweza mwambia make gani huyu au Mme gani huyu umeoa??? Kama mzungu hajielewi anatoa talaka faster. Mnigeria lishaachwa na mdada was kizungu ( nchi moja ya kiscandnavia jirani na Denmark) kipindi alichotakiwa kurudibkwao after ndoa ili arudi tena full.
Dinazarde, Mrembo by Nature, mrskhoory ebu oneni hilo shera jamani, hii ndoa au kipaimara? Na hiyo simu ndo vipi tena? Kumbe mbuta nanga alivyomchamba sawa kabisa, shera la miaka 1914 anavaa mwaka 2014, na apo atakwambia kaagiza uingereza , lucy mshamba jamani khaa, na uo weusi sasa yani beki tatu ana afadhali
Wazungu ni nouma ,kuna binti mmoja yupo Mwaz,anatembea na mzungu hua anafanyiwa hayoo yaan siku wakija rafiki zake huyo mzungu wote wanamchangiaa,ndio maana wanaotembea na wazungu wanakunywa pombe kalii sana,akikusimulia huyo bint utachokaaaaa anasema yupo kipesa zaidii ana ki rav4 pia anasomesha mdogo wake,anasema hua anachokonelewa halaf wana magovi kama kidonda nyekunduuu,
Ngoja aache na kazi yake hapo mahakamani aende huko Denmark halafu mwanaume aje ambwage
KUna picha kaiweka uko insta dah, kweli huyo lucy mswazi, ni ngumu sana kuilewa, yani mswazi sana
Yaan leo nimechekaaa kule kwa sinta kuna mdada alitoa koment anasema wanaume wana tabia mbaya unamkaribisha kwako for Dinner, muda unafika dume hilo linakuja linapitiliza kupakua msosi mlima, nyama hizo,maharagee pwaaaa,mkononi hajakuletea kitu, anakula msosi kama anaenda vitani, halaf akimaliza anataka kushushia na k wakati we hapo maji ya kwenye k yashakauka kutokana na matukio
Basi bwana anaesemwa huyo dume hajaja kumjibu bintii kua unanisema kwenye blog yaan nimechekaaaa mieee
Hii inaitwa maskin akipata si unajua makalio huliaje??????ndo Lucy sasa.yaani kwanza hakutegemea.pili Alitaka Kuwa komoa wajinga wenzie matokeo yake ndo haya sasa.anabaki kuropoka tu vitu asivyovijua Mara sizai mpaka Uraia wakati hata process nzima haikujui.hawa wasalinii wanapenda kujiabisha kweli.kokuhilwa me naamini lucy angenyamaza kimya haya yote yasingemkuta. Anajiharibia mwenyewe kwa kupiga watu madongo, hajui kama kuna watu kuwachamba watu wengine huko insta n.k ndo ajira yao. At the end of the day anajiharibia tu heshima yake aliyoijenga miaka mingi tu. Acha watu waseme, kwani maneno kitu gani? Afu siku hizi maneno hadi kwenye keki mbona. Anaact as if hakutegemea kuolewa au kaolewa ili kuwafunga watu midomo eeeh
watu wanamaneno....nimecheka kwa Nguvu mpaka Mtu kaniuliza nacheka nini nimeshindwa kujibu.Warumi we ni noma anoma aHyo kitchen party yenyew alivaa kama mchawi
Hahaha Dinazaede yule dada sijui ndo Ashu na baby wake mkomba menu waliniacha hoi. Nilicheka hadi basi
Hii inaitwa maskin akipata si unajua makalio huliaje??????ndo Lucy sasa.yaani kwanza hakutegemea.pili Alitaka Kuwa komoa wajinga wenzie matokeo yake ndo haya sasa.anabaki kuropoka tu vitu asivyovijua Mara sizai mpaka Uraia wakati hata process nzima haikujui.hawa wasalinii wanapenda kujiabisha kweli.
KUna picha kaiweka uko insta dah, kweli huyo lucy mswazi, ni ngumu sana kuilewa, yani mswazi sana
Yule ndo anaona kana tu alikua kahaba mzoefu Yaani wazungu wanasema retired ----- kuwaharibu tu mabinti wakimwona wanaanza ku tafuta wazungu pori kumbe ndani anatamani kukimbia.anabaki ohh single mothers.na badolazima amtetee kwani ni team moja ambayo tigo zilihusika kufanikisha process. Alafu si hapa wazungu ndio wqnaongelewa hivyo hata yeye si salama sana
watu wanamaneno....nimecheka kwa Nguvu mpaka Mtu kaniuliza nacheka nini nimeshindwa kujibu.Warumi we ni noma anoma a
Aaaah aaaha, ao wasimamizi wake walivyokuwa weusi mmh!!, type za kina dokii, hakyanani siku hiyo umeme ungekatika watu wangetafutana ukumbini, utafikir misukule na vile alivyopanda guta mmh lucy alitisha, make up sasa , nyie kuna watu wana makusudi kwa kweli