huyu wa kwetu hapa salma ..naye anao washindani wengi tu..na juzi kachukuliwa mwingine mbichiiiiiiii na ana mtoto mchanga sasa..ndio maana naye mikogo mingi ..ie misafara ...ets ili kuwakoga wenzake ..as if saying hata mkijifanya vipi..mimi ndie ninayetamba!!!!!
wakubwa haoo!!!..kwa waafrika hiyo si dhambi??!!
'speculation'
nasikia mzee wa njenje yeye huwa hajui kukataa mtoto, ilimradi kama alipitapo. na inasemekana idadi ya watoto wake wanajaa minibus, na wakuu wengi wa wilaya 'mabinti'ni fadhila.