Lucifer Beer

Nadhani hii inakuunganisha moja kwa moja na Lusifer popote alipo.
 
Kibiashara zaidi itakuja na ya mlengwa wa pili sijui itaitwaje maana majina kedekede..!
 
Naona wameona majina ya watakatifu kama St. Anna hayalipi sasa wamekuja na mhusika mwenyewe.
 

Kasinde,
Mkono wa kike huo wala hakuna ubishi
 
Kuna watu wanaabudu shetani bila kificho !
 
Duuuuh kwa utafoti tu, sikuwezi..
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…