Lubuva unasemaje katika hili?

Lubuva unasemaje katika hili?

maramia

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2015
Posts
2,029
Reaction score
1,345
Kwa sababu wagombea wa nafasi zote kuanzia udiwani, ubunge na urais wana hadhi sawa mpaka baada ya matokeo, iweje mmoja asindikizwe na FFU na mwingine hapewi hata polisi shirikishi?
 

Attachments

  • 1443899677800.jpg
    1443899677800.jpg
    44.1 KB · Views: 704
Huyo ndie rais unauliza nini tena.kuna mwingine?
 
Nashangaaa misafara ya magufuri watu hawasumbui na bado anapewa ulinzi mkali...
Kwa Lowasa watu wakinusa tu harufu yake hata Polisi wanakosa kazi maana watu watavunja vizuizi vyote ili wamuone
 
Vile vile ulinzi kwa viongozi wa ccm ni sahihi kabisa maana magufuri amedhihirisha kuwa ndio wanaosababisha ndg zetu wafe kwa kukosa dawa. Naiasa serikali iwalinde sana. Kama wakilindwa wanazomewa unadhani itakuwaje wasipolindwa?
 
Back
Top Bottom