Loyal voters wanataka haya..

Loyal voters wanataka haya..

Anafaa kuwa rais kwani anasifa zote mpeni kura, ni muadilifu,mchapa kazi na mtafutaji, anaelewa umaskini kwani ameuishi pia, hana udini wala ukabila,
 
Huu ndiyo ukweli .... Sasa subiri wenye mahaba watakavyo jibu kwa matusi bila hoja yoyote.
 
Huwezi kujiita kim kadash ukawa na akili timamu, mbantu kutoka sitimbi unajiita kim kadash jinga kabisa
 
Kim kardash duuu baba ake si ndo alichange jinsia hajielewiii tatiziii no mfumo aliopo huyo muadilifu wenu
 
Back
Top Bottom