Lowassa wewe ndiye alianza kuwatukana WanaCCM

Lowassa wewe ndiye alianza kuwatukana WanaCCM

manking

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2014
Posts
1,306
Reaction score
316
Wadau tusiwe wasahaulifu ndg. Lowassa siku anahama CCM hakutumia busara aliongea maneno mengi, namnukuu
' CCM hawajanitendea haki demokrasia imebakwa'

Swali kumbe
:
Wajumbe wa kamati kuu ni wabakaji au vibaka? la hasha! Ni watu wenye akili na maono. Wewe hukukidhi vigezo ndani ya chama.
Jiheshimu utaheshimika usipojiheshimu utadharaulika, ulijitakia mwenyewe usilalamike. Ungetoka bila matusi hapakuwa na shida ndio demokrasia hiyo.
 
Ukiwa CCM unakosa hata weledi mdogo tu wa uandishi...

MIE HATA SIJAELEWA ALICHOKIWASILISHA HAPO....PUMBA TUPU,ila usihofu, Elimu bure ya LOWASSA itakurudisha darasani ili uutoe utongotongo ulionao ktk uandishi.
MPE KURA YAKO TU!
 
Wakati unasoma ulifundiswa mada ya "Ufahamu"

Kama ulifundishwa ulielewaje?????

Ila kama hukufundishwa basi uko sahihi kwa akili yako.
 
Wadau tusiwe wasahaurifu ndg. EL siku anahama ccm hakutumia busara aliongea maneno mengi, namnukuu
' ccm hawajanitendea haki democrasia imebakwa'
Swali kumbe:
wajumbe wa kamati kuu ni wabakaji au vibaka? la hasha! ni watu wenye akili na maono. wewe hukukidhi vigezo ndani ya chama.
jiheshimu utaheshimika usipojiheshimu utadharaulika ,ulijitakia mwenyewe usilalamike. Ungetoka bila matusi hapakuwa na shida ndo democrasia hiyo.


Inawezekana una message nzuri lakini umepanic hata kuandika umekurupuka tu!
 
Lkn vijana wenzangu tuwe makini ktk maamuzi tusikurupuke kuangalia fulani kafanya nini
 
Back
Top Bottom