Tuko pamoja kaka kumbe hata kichwa cha habari wiki hii kimemtaja tena lowasa,na hilo ndio hata mimi nimesema hapa.hio habari ilikuwa ina nia ya kuchonganisha kt ya low na jkwe timamu kweli au kichaa? Kwa taarifa yako ili gazet linaandika ishu mpya kila wiki tena adimu zinazowakela magamba hadi mkwer.e himself kwan mfano headlines wiki hii LOWASA,ROSTAM KUMZIMA KIKWETE hii haiusiani na richmond, nyingine CCM WAPANGA KUHUJUMU CHADEMA, pia kuna habari hoayoiusu CUF,acha utovu wa nidhamu ongelea unayoyajua yale ya mzalendo,uhuru na jambo leo sio mwanaHALISI
Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward Lowasa na Rostam Aziz.Siku ambayo hawa watu wawili hawatakuwepo basi na gazeti letu kipenzi litakuwa limekufa pia.Leo niko tayari kupinga na mtu yeyote kuwa KAMA MWANAHALISI LIKIKAA MWEZI MMOJA TU HALIJAANDIKA HABARI YA LOWASA BASI NITATOA KWA NILIOPINGA NAE SHILINGI MILIONI MOJA japo ni hela nyingi kwangu ila nina uhakika haziwezi kunitoka kw kuwa Mwanahalisi wanamuota mchana na usiku Edward Lowasa .Kwa kweli Lowasa ni mvumilivu sana ningekuwa mie ningekuwa nimeshafungwa jela kwa kumshughulikia mtu mbaya kabisa ,siwezi kuchezewa namna hii.:angry:
nimekugusa kijana wa embe bivu?- Duh! Lahaulaa! William @ NYC, USA.
Naomba ufikirie kidogo tu. Kwanza uko sahihi kwamba urais ndio sababu, lakini unakosea kuona kama ni sababu ya kijinga maana unakua kipofu kuona kwamba urais ni kitu kidogo. Hivi kweli unataka tuache mtu mwenye nguvu ya kisiasa ambaye ni fisadi aje kutawala? Baada ya 2015 Lowassa hatakua issue ya nmagazeti atakua issue ya Rais ajaye kumburuza mahakamani
nimekugusa kijana wa embe bivu?
Akili yako ni fupi unaishia kusema nani kasema na siyo nini kimesemwa...hio ni moja ya dalili ya uwezo mdogo wa akili.Serukamba huwezi kufanana nae hata kidogo....ana historia kwenye siasa ya Tanzania ambayo mtu kama wewe huwezi kufanya:
1.Alivunja nguvu ya Chadema kigoma
2.Alimdondosha DR Kaburu mpaka akafanya ajiunge na CCM
3.Mkristu wa kwanza kukubalika ndani ya himaya za ujiji na mwanga
4.Kashinda uchaguzi kigoma mara mbili
5.Kashinda kigoma pamoja na nguvu zote zilizotumika dhidi yake ambazo ni halali na haramu
Pamoja na mambo yote kati yetu nabaki kumuheshimu kama mwanasiasa bora na anaesimamia anachokiamini
haya mambo ya kusingiziana ni hatari sana ni wapi mimi nilisema kuwa kubenea angepofuka kamanda au unajaribu kuleta propaganda za kuuza cement kwa shilingi elfu tano lwa mfuko.Usijaribu kupoteza mada. Lowassa ni fisadi na Kubenea anajua hivyo. Tena wewe Nchimbi J unayepotosha ukweli, ndiye uliyesema siku ile Kubenea alipomwagiwa tindikari, kwamba "bora angepofuka." Suala la Kubenea kuwa hakutoa ushahidi mahakamani si la kweli. Kubenea alikwenda mahakamano na akahojiwa mara kadhaa. Lakini tunajua waliotumwa kumwagia tindikali mmoja wapo ni shemeji wa Lowassa. Muache kusingizia kuwa alichua mke wa mtu.Je, mke wa mtu anatafutwa kwenye chumba cha habari?
Nini kipimo cha mtu anaependa kuandikwa kwenye vyombo vya habari na unawezaje kufikisha maagizo kwa wananchi bila kutumia vyombo v ya habari.Ni kweli Lowasa n bora kuliko Pinda kwa kuwa anasimamia na tunajuia nini kafanya lakini pinda kafanya nini mpaka sasa na kasimamia nini zaidi ya kulia lia bungeni.Hutakiwi kushangaa Huyo Lowasa anapenda sana kuandikwa kwenye Media. Ni kwamba tu sasa hivi unashangaa sababu upepoumebadilika. Kabala ya richmosnd allikuwa anasifiwa wa kuonekana kwenye TV akiwakoromea wakuu wa wilaya. Huo ndo usanii wake. Je hukuona tatizo kwenye hilo kiongozi amabye anaweza kufanya kazi kimya kimya bila kutaa kuonekna kwenye vyombo vya habari. yaani tatizo analoweza kumunadikia mkuu wa wilaya doezo au memo yeye alikuwa kwenye TV.
Sasa kwa style hiyo hiyo upepo umebadilika so Usishangae Lowasa Like the media but he might not like the way he is represented. Ndio maana una wachovu wanadhani Lowasa ni bora kuliko Pinda.
What goes arround comes arruound
wee mpuuzi,idiot...Nimeangalia kwa makini sana gazeti la Mwanahalisi kwa zaidi ya miaka mitatu mfululizo bila kukosa na leo nasema kwamba Mwanahalisi ni gazeti maalumu lililoundwa kwa ajili ya kumshughulikia Edward Lowasa na Rostam Aziz.Siku ambayo hawa watu wawili hawatakuwepo basi na gazeti letu kipenzi litakuwa limekufa pia.Leo niko tayari kupinga na mtu yeyote kuwa KAMA MWANAHALISI LIKIKAA MWEZI MMOJA TU HALIJAANDIKA HABARI YA LOWASA BASI NITATOA KWA NILIOPINGA NAE SHILINGI MILIONI MOJA japo ni hela nyingi kwangu ila nina uhakika haziwezi kunitoka kw kuwa Mwanahalisi wanamuota mchana na usiku Edward Lowasa .Kwa kweli Lowasa ni mvumilivu sana ningekuwa mie ningekuwa nimeshafungwa jela kwa kumshughulikia mtu mbaya kabisa ,siwezi kuchezewa namna hii.:angry:
Naweza kuwa idiot lakini ukweli hata leo mmejionea akijaribu tena kutoa hadithi za mwanahalisi ambazo zinaongelea mpaka anachowaza kanakwamba wao ni Mungu wanajua mipango na mambo yote ya Lowasa mpaka alichokuwa akiwaza huko kwa Joshua.......................huku ni kuingilia haki yake ya kuabudu na kwa kweli ni kutomtendea haki hata kidogo.wee mpuuzi,idiot...
Nini kipimo cha mtu anaependa kuandikwa kwenye vyombo vya habari na unawezaje kufikisha maagizo kwa wananchi bila kutumia vyombo v ya habari.Ni kweli Lowasa n bora kuliko Pinda kwa kuwa anasimamia na tunajuia nini kafanya lakini pinda kafanya nini mpaka sasa na kasimamia nini zaidi ya kulia lia bungeni.
Kwanza niweke rekod vema kuwa mimi situmwi na mtu yeyote na wala sijasema nawakilisha mawazo ya mtu hapa.........ni mawazo yangu na akili yangu.wewe unaona dowans ni ufisadi ni sawa mimi naona dowans ni ukombozi kwa kuwa wameleta umeme na umeme wao wlikuwa wakiuza bei rahisi kuliko iptl,songas na aggreko.hapa ndio nataka tuanzie kubisha kuwa tunataka hata kama watu wachini walikosea lakini ktk makosa yao wakaleta umeme kwa bei ya chini ndio wanakuwa maadui wetu wa maisha au ni yule ambae anatuuzia umeme wa megawts 80 kwa sh mil mia sita kwa siku na bado mko kimya.........kweli huu ni unafiki wa ajabu sana.usipotoshe sijaongelea vodacom hapa.mimi sina haja ya kuwa mwanasiasa kwa kuwa mnafiki na kutokuwa mkweli kama unavyotaka kuonyesha hapa
Jenga hoja zako na sio umbeya hapa.....mi mi nasema kuwa uwekezaji uliofanywa na Rostam ndani ya tanzania ni muhimu kuliko hata haya majungu mnayoleta hapa.....mna laana nyinyi watu.
1.Kaleta dowans ambayo iliwapa offer ya umeme wa chini kuliko kampuni yeyote binafsi inayozalisha umeme kusini mwa jangwa la sahara.
2.Kaleta gazeti la mwananchi ambalo ndio gazeti bora tanzania katika ujenzi wa demokrrasia.
3.Anadhamini ligi ya vodacom
4.anadhamini miss tanzania
5,Analipa kodi zaidi ya bilioni 40 kwa mwaka
6.Katoa ajira kwa zaidi ya watanzania elfu tatu
7.Kajenga madarasa na kugawa madawati kwa zaidi ya shule mia tano nchini
Labda ajala chakula na walemavu tu
Umesahau moja kuwa Bunge lililopita walikuwa wanamwita ni mke wa nani vile!!!!!!!! na wewe ni namba mbili. mimi sijasema kuwa wewe ni peteerr ila mnafanana
Kamjaribu kama hatakutoa kamasi mpaka ukamsahau mwenzio nyumbani...then uje utupe taarifa kama ni kweli usemayo hapa.hahaaa.... asije akaingia anga zangu.... maana nasikia jamaa aligombana hadi na mrs wa jamaa kisa alinogewa akajisahau
Tatizo sio mwanahalisi ila ni kansa inayoitafuna magamba, serikali na wewe mwenyewe ndio maana linakukera na unaliona la udaku, lakini kwa taarifa yako wao ni wambea kwa kutujuza mambo yanayoendelea kila uchao ya ufisadi na utawala mbovu (kansa) ambayo yanakusibu hata wewe, kwahali hiyo lazima uwaone wadaku