kamtesh
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 1,395
- 514
Watu wana muona Mh Lowassa kama mamluki wa CHADEMA. Kwa ushauri wangu, kwa siku zilizobaki, dhihirisha kwamba wewe ni kamanda, na vaa kwanzia kesho mpaka mwisho wa kampeni.
Tunamuona Mbowe kama kawa anatinga kombati yake kila siku, na wewe kama mpeperusha bendera ya CHADEMA, vaa kwa kuonyesha wewe ni CHADEMA na sio mamluki.
Tunamuona Mbowe kama kawa anatinga kombati yake kila siku, na wewe kama mpeperusha bendera ya CHADEMA, vaa kwa kuonyesha wewe ni CHADEMA na sio mamluki.