Lowassa: Tumewashika CCM Pabaya

Lowassa: Tumewashika CCM Pabaya

jamani ukawa na na malofa wengine fanyeni research!!reseach always bring a goog answear!!!njoeni na tafiti hapa c porojo za robot!!!ni mikoa ipi lowasa ataongoza kwa asilimia 90 na ipi pombe magufuli ataongoza kwa 90%!!!!!kwa mfano dar es salaam wamejiandikisha watu 2.8 milion!!wakati dar kuna wakazi 8 milion!!!acheni mambo ya media na upambe!!!dr magufuli ndiye rais mpaka sasa!!!research zinaonyesha anaungwa mkona kwa 90% mikoa ya simiyu,ruvuma,njombe,katavi,pwani,morogoro,dodoma,tanga,geita,tabora,shinyanga,mara,na rukwa!!!lowasa ana ungwa mkona kwa 90% manyara,arusha,kilimanjaro,singida,na iringa!!!!!na kwingine tanzania wanazidiana kwa karibu sana

Sio wakazi wote wa dar-es-salaam wana umri zaidi ya miaka 18.

Unapoambiwa dar ina wakazi milioni 8 usitarajie wajiandikishe watu millioni 8 pia.
 
jamani ukawa na na malofa wengine fanyeni research!!reseach always bring a goog answear!!!njoeni na tafiti hapa c porojo za robot!!!ni mikoa ipi lowasa ataongoza kwa asilimia 90 na ipi pombe magufuli ataongoza kwa 90%!!!!!kwa mfano dar es salaam wamejiandikisha watu 2.8 milion!!wakati dar kuna wakazi 8 milion!!!acheni mambo ya media na upambe!!!dr magufuli ndiye rais mpaka sasa!!!research zinaonyesha anaungwa mkona kwa 90% mikoa ya simiyu,ruvuma,njombe,katavi,pwani,morogoro,dodoma,tanga,geita,tabora,shinyanga,mara,na rukwa!!!lowasa ana ungwa mkona kwa 90% manyara,arusha,kilimanjaro,singida,na iringa!!!!!na kwingine tanzania wanazidiana kwa karibu sana

Kweli unaumwa Mkuu.... Tusubiri wiki hii Twaweza wanatema mzigo sio hizi porojo zako
 
Aliye hoi zaidi ni CCM au yeye mwenyewe ambaye hata kupanda jukwaani anapandishwa kwa kushikwa masaburi, hata kipaaza sauti anashukiwa. Kwahiyo kitatokea bahati mbaya akawa Rais akipenda kwenye mikutano ya kimataifa Kama UN ataomba ahutubie akiwa amekaa

Picha ya kupanda jukwani na ile ya mic ni kazi za ofisi mpya (IT centre) ya January pale Masaki.... Moja ya Jd yao ni kufanya editing kwenye picha na video...

Kwa mfano ile ya kupanda jukwani inaonyesha Lowassa ana miguu 3, we duniani ushaona mtu mwenye miguu 3?
 
Back
Top Bottom