Lowassa Staafu Siasa Uokoe Wengi,Uepushe Mengi...

mwanamichakato

JF-Expert Member
Mar 20, 2015
1,183
1,083
Uchanga demokrasia ktk nchi zetu za kiafrika umepelekea harakati za kisiasa kuwagawa wananchi badala ya kuwaunganisha..sana sana pia uadui wa kisiasa umekuwa na makovu yasiofutika katika mioyo,nafsi na miili ya wanasiasa,wakeleketwa wao,wapinzani wao n.k. Mifano hai yapatikana Zambia,Zimbabwe,Ivory Coast,Sudan Kusini,Uganda,Jamhuri ya Afrika ya kati,Msumbiji,Malawi n.k.Magonjwa sugu ya kisiasa likiwemo la Saratani za chuki,visasi,mapambano,ushindani,mivutano kisiasa mengi yamekuwa yakidumaza ustawi wa mataifa mengi ambako demokrasia bado ni changa kwa sababu ya changamoto mbalimbali za kihistoria,kiuchumi,kikatiba,kiitikadi na kimfumo.

Kwa heshima kubwa na Taadhima natoa ushauri kwa Mh. Edward N. Lowassa kustaafu na kujitenga kabisa na shughuri,mikakati ya kisiasa,michakato,Harakati za kisiasa .Ni ukweli usiopingika ya kuwa vuguvugu la uchaguzi mkuu uliopita lilikuwa kubwa mnooo kuwahi kutokea ktk historia ya nchi yetu.Idadi kubwa ya wanajamii iliweka wazi hisia zao juu ya nani wako nyuma yake hasa ktk mbio za kuusaka urais wa JMT.

Hatua ya Kapteni Mstaafu Lowassa kustaafu siasa itawafanya wengi waokoke {kuokoka ni kuzaliwa upya} kisiasa hivyo kufuta machungu,maumivu,mapigo,hisia za visasi,hisia za kuonewa,hisia za kukandamizwa na hisia za kuchukiwa sababu tu ya kumuunga mkono Lowassa wa Ukawa.Pia Kitendo cha Lowassa kustaafu kutapelekea wengi kusamehewa na vyama vyao {tuhuma za usaliti},jamii zao,rafiki zao,washirika zao,viongozi wao.Zaidi sana Kustaafu kutamfanya apumzike kwa amani kwa kujiweka mbali na mishale ya mashambulizi ya kisiasa,propaganda,ajali za kisiasa,mikakati ya kumdhoofisha dhidi ya malengo na maono kisiasa.

Kustaafu kwa Mh. Lowassa kutapelekea vyama kufanya maridhiano yahusuyo kutibu saratani ya kisiasa wanayougua wengi kimya kimya ndani ya vyama vyao ambo ni waathirika wa mikwaruzano,misuguano,kuchomekeana,kuchafuana,kukatana,kutia nia,kuchokonoa nia,kutenguliwa,kuhujumiwa,kuenguliwa,kura kutokutosha na mengineo.

Lakini ni ukweli usiopingika ya kuwa mengi ya madhara tajwa hapo juu ni matokeo ya siasa za nchi yetu kipindi hiki na kilichopita kujiegemeza kwa mtu zaidi kulikochama {kumtegemea mtu/mtu kuwa maarufu kuliko vyama au chama cha siasa}.Kwa mfano mfumo uliozoeleka wagombea wa nafasi ya Urais kutanguliza chama kwanza kisha wagombea/watia nia baadae haukuwa na hatamu kabisa bali utashi/mvuto/upako wa mgombea ndio uliokuwa dira ya kushinda au kushindwa.
 
Kwanini ushauri huu hukuwapa ccm waachie madaraka maana wameshindwa kuleta maendeleo kwa miaka 54, kwa mtu makini ambaye yupo kwa ajili ya kuwakomboa watu wake hivi vikwazo ndiyo vinamfanya aongeze juhudi zake kuhakikisha wananchi wanafunguliwa minyororo ya umasikini, halafu angalia matatizo ya kisiasa yanayotokea nchini yanasababishwa na chama gani?
 
Lowassa yupo focused.... Ni aina ya watu ambao hawayumbishwi ktk kusimamia malengo yao....

Watu wa aina hii duniani kote wana mafanikio makubwa sana kwakuwa hujituma na hujielekeza ktk yale wayatakayo tu.....

CCM kwa sasa ipo ktk wakati mgumu zaidi... Hali ya mambo yanayotokea na yajayo yanaiweka ktk mtego na hali mbaya zaidi.... Pumzi imekwisha na CCM iliponea kiduchu tu 2015 but kwa hali ilivyo sasa kama itaendelea hivi 2020 CCM itakua historia....

Watu wamechoka!! Maisha magumu sana!! Wamepoteza hamu kabisa!!
 
Lowassa yupo focused.... Ni aina ya watu ambao hawayumbishwi ktk kusimamia malengo yao....

Watu wa aina hii duniani kote wana mafanikio makubwa sana kwakuwa hujituma na hujielekeza ktk yale wayatakayo tu.....

CCM kwa sasa ipo ktk wakati mgumu zaidi... Hali ya mambo yanayotokea na yajayo yanaiweka ktk mtego na hali mbaya zaidi.... Pumzi imekwisha na CCM iliponea kiduchu tu 2015 but kwa hali ilivyo sasa kama itaendelea hivi 2020 CCM itakua historia....

Watu wamechoka!! Maisha magumu sana!! Wamepoteza hamu kabisa!!

Ni kweli kabisa kuwa watu wanamna hiyo ni wengi na wezi kweli kweli na wana ubinafsi sana, na wanajua kucheza na akili za watu hasa ambao wamepigika sana. Kwani walopigika huwa hawana kumbukumbu wala historia ya mtu husika.
 
Ni kweli kabisa kuwa watu wanamna hiyo ni wengi na wezi kweli kweli na wana ubinafsi sana, na wanajua kucheza na akili za watu hasa ambao wamepigika sana. Kwani walopigika huwa hawana kumbukumbu wala historia ya mtu husika.

Irrelevant.....
 
Heshimu sana ranks za kijeshehi!huyo jamaa yenu hakuwahi rank ya CAPTAIN, Jeshini rank yake ya mwisho alikuwa LIEUTENANT,Hajawahi kuwa captain
 
Lowassa yupo focused.... Ni aina ya watu ambao hawayumbishwi ktk kusimamia malengo yao....

Watu wa aina hii duniani kote wana mafanikio makubwa sana kwakuwa hujituma na hujielekeza ktk yale wayatakayo tu.....

CCM kwa sasa ipo ktk wakati mgumu zaidi... Hali ya mambo yanayotokea na yajayo yanaiweka ktk mtego na hali mbaya zaidi.... Pumzi imekwisha na CCM iliponea kiduchu tu 2015 but kwa hali ilivyo sasa kama itaendelea hivi 2020 CCM itakua historia....

Watu wamechoka!! Maisha magumu sana!! Wamepoteza hamu kabisa!!
Siyo fisadi tena?? (CHADEMA 2008-2015)
 
Uchanga demokrasia ktk nchi zetu za kiafrika umepelekea harakati za kisiasa kuwagawa wananchi badala ya kuwaunganisha..sana sana pia uadui wa kisiasa umekuwa na makovu yasiofutika katika mioyo,nafsi na miili ya wanasiasa,wakeleketwa wao,wapinzani wao n.k. Mifano hai yapatikana Zambia,Zimbabwe,Ivory Coast,Sudan Kusini,Uganda,Jamhuri ya Afrika ya kati,Msumbiji,Malawi n.k.Magonjwa sugu ya kisiasa likiwemo la Saratani za chuki,visasi,mapambano,ushindani,mivutano kisiasa mengi yamekuwa yakidumaza ustawi wa mataifa mengi ambako demokrasia bado ni changa kwa sababu ya changamoto mbalimbali za kihistoria,kiuchumi,kikatiba,kiitikadi na kimfumo.

Kwa heshima kubwa na Taadhima natoa ushauri kwa Mh. Edward N. Lowassa kustaafu na kujitenga kabisa na shughuri,mikakati ya kisiasa,michakato,Harakati za kisiasa .Ni ukweli usiopingika ya kuwa vuguvugu la uchaguzi mkuu uliopita lilikuwa kubwa mnooo kuwahi kutokea ktk historia ya nchi yetu.Idadi kubwa ya wanajamii iliweka wazi hisia zao juu ya nani wako nyuma yake hasa ktk mbio za kuusaka urais wa JMT.

Hatua ya Kapteni Mstaafu Lowassa kustaafu siasa itawafanya wengi waokoke {kuokoka ni kuzaliwa upya} kisiasa hivyo kufuta machungu,maumivu,mapigo,hisia za visasi,hisia za kuonewa,hisia za kukandamizwa na hisia za kuchukiwa sababu tu ya kumuunga mkono Lowassa wa Ukawa.Pia Kitendo cha Lowassa kustaafu kutapelekea wengi kusamehewa na vyama vyao {tuhuma za usaliti},jamii zao,rafiki zao,washirika zao,viongozi wao.Zaidi sana Kustaafu kutamfanya apumzike kwa amani kwa kujiweka mbali na mishale ya mashambulizi ya kisiasa,propaganda,ajali za kisiasa,mikakati ya kumdhoofisha dhidi ya malengo na maono kisiasa.

Kustaafu kwa Mh. Lowassa kutapelekea vyama kufanya maridhiano yahusuyo kutibu saratani ya kisiasa wanayougua wengi kimya kimya ndani ya vyama vyao ambo ni waathirika wa mikwaruzano,misuguano,kuchomekeana,kuchafuana,kukatana,kutia nia,kuchokonoa nia,kutenguliwa,kuhujumiwa,kuenguliwa,kura kutokutosha na mengineo.

Lakini ni ukweli usiopingika ya kuwa mengi ya madhara tajwa hapo juu ni matokeo ya siasa za nchi yetu kipindi hiki na kilichopita kujiegemeza kwa mtu zaidi kulikochama {kumtegemea mtu/mtu kuwa maarufu kuliko vyama au chama cha siasa}.Kwa mfano mfumo uliozoeleka wagombea wa nafasi ya Urais kutanguliza chama kwanza kisha wagombea/watia nia baadae haukuwa na hatamu kabisa bali utashi/mvuto/upako wa mgombea ndio uliokuwa dira ya kushinda au kushindwa.
 
Magufuli anatumbua majipu sijui ni lini atamfikisha mahakamani lowassa kwa ufisadi wa Richmond tuliaminishwa tangu 2008.
Tuwaachie kazi hiyo chadema walete ushahidi baada ya kumtangaza Lowasa fisadi nchi nzima
 
Uchanga demokrasia ktk nchi zetu za kiafrika umepelekea harakati za kisiasa kuwagawa wananchi badala ya kuwaunganisha..sana sana pia uadui wa kisiasa umekuwa na makovu yasiofutika katika mioyo,nafsi na miili ya wanasiasa,wakeleketwa wao,wapinzani wao n.k. Mifano hai yapatikana Zambia,Zimbabwe,Ivory Coast,Sudan Kusini,Uganda,Jamhuri ya Afrika ya kati,Msumbiji,Malawi n.k.Magonjwa sugu ya kisiasa likiwemo la Saratani za chuki,visasi,mapambano,ushindani,mivutano kisiasa mengi yamekuwa yakidumaza ustawi wa mataifa mengi ambako demokrasia bado ni changa kwa sababu ya changamoto mbalimbali za kihistoria,kiuchumi,kikatiba,kiitikadi na kimfumo.

Kwa heshima kubwa na Taadhima natoa ushauri kwa Mh. Edward N. Lowassa kustaafu na kujitenga kabisa na shughuri,mikakati ya kisiasa,michakato,Harakati za kisiasa .Ni ukweli usiopingika ya kuwa vuguvugu la uchaguzi mkuu uliopita lilikuwa kubwa mnooo kuwahi kutokea ktk historia ya nchi yetu.Idadi kubwa ya wanajamii iliweka wazi hisia zao juu ya nani wako nyuma yake hasa ktk mbio za kuusaka urais wa JMT.

Hatua ya Kapteni Mstaafu Lowassa kustaafu siasa itawafanya wengi waokoke {kuokoka ni kuzaliwa upya} kisiasa hivyo kufuta machungu,maumivu,mapigo,hisia za visasi,hisia za kuonewa,hisia za kukandamizwa na hisia za kuchukiwa sababu tu ya kumuunga mkono Lowassa wa Ukawa.Pia Kitendo cha Lowassa kustaafu kutapelekea wengi kusamehewa na vyama vyao {tuhuma za usaliti},jamii zao,rafiki zao,washirika zao,viongozi wao.Zaidi sana Kustaafu kutamfanya apumzike kwa amani kwa kujiweka mbali na mishale ya mashambulizi ya kisiasa,propaganda,ajali za kisiasa,mikakati ya kumdhoofisha dhidi ya malengo na maono kisiasa.

Kustaafu kwa Mh. Lowassa kutapelekea vyama kufanya maridhiano yahusuyo kutibu saratani ya kisiasa wanayougua wengi kimya kimya ndani ya vyama vyao ambo ni waathirika wa mikwaruzano,misuguano,kuchomekeana,kuchafuana,kukatana,kutia nia,kuchokonoa nia,kutenguliwa,kuhujumiwa,kuenguliwa,kura kutokutosha na mengineo.

Lakini ni ukweli usiopingika ya kuwa mengi ya madhara tajwa hapo juu ni matokeo ya siasa za nchi yetu kipindi hiki na kilichopita kujiegemeza kwa mtu zaidi kulikochama {kumtegemea mtu/mtu kuwa maarufu kuliko vyama au chama cha siasa}.Kwa mfano mfumo uliozoeleka wagombea wa nafasi ya Urais kutanguliza chama kwanza kisha wagombea/watia nia baadae haukuwa na hatamu kabisa bali utashi/mvuto/upako wa mgombea ndio uliokuwa dira ya kushinda au kushindwa.
Huu ushauri ni maalumu kwa viongozi wa ccm
We Mbona umeenda mbali sana

Lowasa muache na harakati zake usitake kimfutia ndoto zake kabla hazijatimia.
Viva ukawa Viva Lowasa

Lumumba hiyoooooo inanivizia

Elimu ndogo.com
""""""""""""""""""""""""""""""""""""
 
Magufuli anatumbua majipu sijui ni lini atamfikisha mahakamani lowassa kwa ufisadi wa Richmond tuliaminishwa tangu 2008.
Lile lilikua jumba bovu lilimbomokea tu
Jumba kalijenga vibaya baba naniiii....R

Elimu ndogo.com
""""""""""""""""""""""""""""""""""
 
Tuwaachie kazi hiyo chadema walete ushahidi baada ya kumtangaza Lowasa fisadi nchi nzima
Mkuu Na mie nilishangaa kipindi cha uchaguzi CCM waliwaiga Na kisema wamechukua fisadi aliyekuwa CCM. Kumbe walimfuga muda wote hadi CHADEMA wanajiridhisha kuwa hakuhusika Na wakaridhia awe mgombea CCM walizidi kusisitiza ni fisadi.... Waiting to see him on court
 
Igweeeee,
Watu wa Mungu awasalimu katika jina la Bwana aliye juu.

Wakati ule CHADEMA ikiwa na Dr Wilbrod P Slaa na Zitto Zuberi Kabwe (kabla ya usaliti), John Mnyika et al. ilikuwa kisima cha hekima na burudani na hakika ikawa chachu kwangu kuwa CDM kindaki ndaki. Tatizo kubwa limeanza baada ya Lowassa kutimkia upande huu na kwa bahati mbaya kabisa katika historia ya CHADEMA, tumekumbwa na pepo mchafu ambaye mimi naamini chanzo ni Lowassa.

KOSA LIPO WAPI?
Wakati ule, wakati wa RICHMOND, Kila mtu aliimba na kuamini kwamba huyu mzee ni fisadi na kwa agenda ile ya kupambana na ufisadi, tulienda vizuri na kila mtu akampenda Peter Msigwa, Freeman Mbowe, John Mnyika na Godbless J Lema kwa kusema ukweli mpaka watu wakafia chama pale soweto.

Ajabu mwizi yule yule aliyeimbwa kwa mbwembe akakaribishwa kwa nderemo na vifijo kama mfalme na akapewa bendera yetu. Malisa Godlisten amepata kusema, maekuja mgeni unamjali kuliko mtoto wako kweli? Mbowe amelipwa au? Ni mara nyingi mno kila aliyehama CCM amekuja kugombea CDM.

Nashauri yafuatayo.
Lowassa aondokane na ndoto za kugombea uraisi 2020.
Mbowe akubali kubaki mshauri mkuu na uenyekiti awaachie vijana.
Turejee kwenye agenda yetu ya Ufisadi na Richmond ifufuliwe ili mwizi ajulikane na msafi aeleweke.
Turudi kwenye zama zetu za kuibua hoja tuache kudandia.


MWISHO.
Tunajenga Tanzania moja, tuache chuki, bila kujali vyama vyetu tushikamane na tuwe wamoja.
Hongera EL.

ndimi
Mwalimu
 
12118681_532448866919780_1699090061903055492_n.jpg
 
Igweeeee,
Watu wa Mungu awasalimu katika jina la Bwana aliye juu.

Wakati ule CHADEMA ikiwa na Dr Wilbrod P Slaa na Zitto Zuberi Kabwe (kabla ya usaliti), John Mnyika et al. ilikuwa kisima cha hekima na burudani na hakika ikawa chachu kwangu kuwa CDM kindaki ndaki. Tatizo kubwa limeanza baada ya Lowassa kutimkia upande huu na kwa bahati mbaya kabisa katika historia ya CHADEMA, tumekumbwa na pepo mchafu ambaye mimi naamini chanzo ni Lowassa.

KOSA LIPO WAPI?
Wakati ule, wakati wa RICHMOND, Kila mtu aliimba na kuamini kwamba huyu mzee ni fisadi na kwa agenda ile ya kupambana na ufisadi, tulienda vizuri na kila mtu akampenda Peter Msigwa, Freeman Mbowe, John Mnyika na Godbless J Lema kwa kusema ukweli mpaka watu wakafia chama pale soweto.

Ajabu mwizi yule yule aliyeimbwa kwa mbwembe akakaribishwa kwa nderemo na vifijo kama mfalme na akapewa bendera yetu. Malisa Godlisten amepata kusema, maekuja mgeni unamjali kuliko mtoto wako kweli? Mbowe amelipwa au? Ni mara nyingi mno kila aliyehama CCM amekuja kugombea CDM.

Nashauri yafuatayo.
Lowassa aondokane na ndoto za kugombea uraisi 2020.
Mbowe akubali kubaki mshauri mkuu na uenyekiti awaachie vijana.
Turejee kwenye agenda yetu ya Ufisadi na Richmond ifufuliwe ili mwizi ajulikane na msafi aeleweke.
Turudi kwenye zama zetu za kuibua hoja tuache kudandia.


MWISHO.
Tunajenga Tanzania moja, tuache chuki, bila kujali vyama vyetu tushikamane na tuwe wamoja.
Hongera EL.

ndimi
Mwalimu

Epa ilikuwa how much, Escrow ilikuwa how much then ndio tuje kwenye richmond
 
Back
Top Bottom