strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,921
- 3,300
Hela zake bana acha atumie
Kama tutakumbuka maneno ya Mwalimu Nyerere kuwa Ikulu ni mahala patakatifu mtu anaetaka kwenda Ikulu tena kwa kuhonga ni wa kumuogopa kama "UKOMA" nae LOWASA ni wa kumuogopa kama UKOMA. Pia huyo jamaa anajisumbua ana laana ya Mwalimu Nyerere Uraisi haupati labda sisi siyo Watanzania!
Kama tutakumbuka maneno ya Mwalimu Nyerere kuwa Ikulu ni mahala patakatifu mtu anaetaka kwenda Ikulu tena kwa kuhonga ni wa kumuogopa kama "UKOMA" nae LOWASA ni wa kumuogopa kama UKOMA. Pia huyo jamaa anajisumbua ana laana ya Mwalimu Nyerere Uraisi haupati labda sisi siyo Watanzania!
Hizo ni za kwake na wanamtandao. Akipata urais lazima awalipe na ajilipe kupitia migongo yenu! Hizo anakopesha!Alishasema kuwa pesa anapewa na rafiki zake.
Acheni kumsakama lowasa. Kama huna cha kuandika nyamaza kimya. Mwacheni mzee wetu ale maisha yake. Tumechoka sasa.Kila anapochangia...anasema yeye hana pesa ila amechangiwa na marafiki zake.Haya huwa anayazungumza anapokuwa anatoa mchango wake wa fedha nyingi sana kwenye vikundi.
Watanzania hizo ni pesa zenu ambazo zilikuwa zimeibiwa sasa zinarudi na ninacho waomba mzipokee kwa mikono miwili lakini mnajua wp mtatoa kura yenu lakini kama mtaafanya makosa kumpa kura mtu ambaye ameleta pesa kwenu ila apate kura madhala yake ni makubwa sana.
Wafanya biashara ni marafiki zake na hao ndio wanao pambana kumweka madarakani je atawalipa nini akishakuwa rais?
Kwa kweli sitaki nionekane simtakii mema kwenye kampeni zake after all ana saidia jamii.Lakini hela anazo toa ni nyingi mno kiasi ni vigumu kuto kuacha maswali ya kujiuliza.Nilitaka kufikiri ni mafao ya uwaziri mkuu lakini mbona mawaziri wakuu wastaafu ni wengi na wengine hawaonyeshi kama wana hela ya maana.Wana jamvi tafadhali mimi siyo adui wa Lowasa.Isitoshe ni mwanamapinduzi tu na ana rekodi ya uchapakazi.Lakini swali ana pata wapi hela hizo?Maana kwa utoaji huo ni kama anakiwanda chake cha kutengeneza hela,ni nyingi muno kwa kweli. Wana jamvi labda mtatu saidia kama ana bishara anazo miliki kisheria hapo mashaka yangu yata isha.Cha ajabu hata Muhongo alipo taja matajiri kumi wanao miliki maeneo makubwa Tanzania ambapo Mengi ali mtaja kuwa ana milki ukubwa wa eneo kama wamji wa Moshi mara 89 yeye hakutajwa.Kwakweli utajiri wake hauonyeshi kama una zalishwa popote,sasa unatoka wapi? Kikundi chochote kikimualika haipungui milioni kumi ishirini.Ni saidieni wanajamvi jamani.
Naomba kuwafahamu kwa majina hao marafiki wa lowassa wanaompa huyu jamaa mapesa mengi hivi ya kuchezea.inaelekea wana roho nzuri sana,maana hata katka siasa za USA hakuna matajiri wanaomwaga pesa kiholela namna hii.
Naomba kuwafahamu kwa majina hao marafiki wa lowassa wanaompa huyu jamaa mapesa mengi hivi ya kuchezea.inaelekea wana roho nzuri sana,maana hata katka siasa za USA hakuna matajiri wanaomwaga pesa kiholela namna hii.
Naomba kuwafahamu kwa majina hao marafiki wa lowassa wanaompa huyu jamaa mapesa mengi hivi ya kuchezea.inaelekea wana roho nzuri sana,maana hata katka siasa za USA hakuna matajiri wanaomwaga pesa kiholela namna hii.
Nazir Karamagi , Jeetu Patel na Rostam Aziz