Lowassa’s U-turn on Katiba process

Umewahi kuona wapi chama cha siasa kikabaki salama baada ya principles zake zinazojenga perception which bears like-minded viewpoints kwa wanachama kuanza kuchezewa.

Vitu kama hivyo vinawezekana kwenye vyama visivyo na maisha marefu tu au vinavyo jisahau na mwisho wake pia na vyenyewe utoweka kwa sababu hakuna shared ideologies za kufanya watu waweze kukipigania chama kikiwa nje ya madaraka. Na mwanachama asiye committed on any side or shift his stances quickly to gain something si mwansiasa wa kumuamini.

Kuna tofauri kubwa hapo ya kiongozi wa chama kuwakumbusha wanachama principles zao na mwanachama mmoja kubadilisha kile anachoamini kisa kupata madaraka (huo ndio utapeli wenyewe wasiasa) Lowassa katika maisha yake yote ya siasa ajawahi kusema anakubaliana na sera za serikari tatu mpaka jana kwenye umati unaopenda kusikia habari hizo.
 

Nilitegemea serikali ingekanusha huo utetezi au kuukosoa. Kama raia wanalia ufisadi na serikali inalia ufisadi bila kuchukua hatua huku ikiwalinda mafisadi, bado tuseme hiyo ni serikali tena?

Richmond na ufisadi mwingine ni mtandao mpana unaovuka mipaka ya nchi, ikiongozwa na familia ya mkuu wao. Lowasa amekiri kushiriki na ameeleza ushiriki wake ambao pia haumweki huru lakini haumfanyi awe mkuu wa kitengo kiasi cha kunyoshewa mikono na kila mtu hata jamii ya mafisadi asilia ccm.

Ila uzuri ni msimamo wake wa sasa wa kujiunga na kuongoza wahanga wa ufisadi kuliangusha zimwi na kujenga mfumo mpya wenye maslahi kwa Watanzania.

Ninaimani Lowasa haropoki bila mwongozo wa wenyeji wake kipi akiseme wakati gani. Lakini pia kusema bila mikakati hakuleti uponyaji zaidi ya kusustain maumivu bila dawa.

UKaWA wamenyamaza lakini ninaamini wanayo mipango na taratibu kuu zitakayosimamisha serikali yao kwa mafanikio makubwa. Agenda zao ni nyingi lakini ninajua hawatakosa kuweka suala la katiba na ufisadi na rushwa, afya, elimu na raslimali za taifa.

Ccm wasitumie ufisadi wa zamani wa lowasa kutufitinisha huku wakifumbia mahco ufisadi, rushwa na uharamia uliokithiri na unaoendelea kwenye chama chao.

HATUDANGANYIKI. SHETANI HAWEZI KUTUCHAGULIA MWOKOZI!.
 

Same old blood craving for power. . .. . .and here comes another old man persuading for "transformation". . . . . .talk of revolution i will understand but other patchy works are as good as paliative care. . . .
 

Utapewa jina sasa hivi, "clarity" sio utamaduni wetu. . . . .tunataka mabadiliko ila tunataka utaratibu wa kuteteana, kusemeana kwa niaba, mambo yanayopaswa kuelezwa wananchi yaongelewe kwenye vikao halali vya chama. . n.k. . . .na bado baadhi wanaona hii ni sawa halafu bila aibu wanahubiri mabadiliko!!!
 

..nadhani kwenye richmond kulikosekana investigative journalism.

..wengi tulirushiwa "chambo" kuhusu mhusika mkuu wa richmond ni nani na tukakimeza bila kuuliza maswali ya msingi.

..sasa tulitakiwa tuwe na waandishi wa habari wachunguzi ambao wangeweza kufuatilia na kuchambua mchele na pumba.

..suala la richmond limeachiwa wanasiasa ambao wanatumia kashfa ya richmond kama rungu la kutandikana na kufikia malengo yao ya kisiasa.

cc Tabby
 
Last edited by a moderator:

Mkuu kwa heshima zoote 12:10 leo mchana uliandika nini kuhusu imani?!!!
Hapo juu paragraph ya nne umeandika nini kuhusu imani?!!!

Ndio maana wengine hii habari ya mtu kusema tu bila "binding" tunaona haiko sawa maana anaweza sema hili sasa na baadaye akaja kivingine!!!!! Kama wewe ulivyabdili "thesis" yako na sasa umerudia neno "imani". . . . .

Jioni njema
 


Ninakubaliana na wewe. Hii habari ya Richmond, na si Richmond tu hata Escrow na mengineyo ni pana na kubwa kuliko vipande tulivyomegewa.

Lakini katika mazingira ambayo hata Takukuru walipotaka kufanya kazi yao wakazuiliwa, journalist gani angebaki salama kwa kuchunguza licha ya kuweka bayana uhalisia wa habari?

Angalia habari ya hivi karibuni kuhusu fedha zilizochukuliwa Stanbic ni chombo gani kinathubutu kufuatilia?

Sana sana namkumbuka kijana wangu Marehemu Mwangosi, na wale wengine walioharibiwa katika mazingira kama yale.

Pengine ni vizuri kubadilisha mikakati ya vita.

Tuiondoe ccm amdarakani, ndipo tupate taarifa zenye maslahi kwa umma ambazo zitasaidia kuboresha mazingira na kuhakikisha ufirauni ule haufanyiki tena ndani ya Tz.

Angalia mchezo uanochezwa na mkuu wa kitengo. Hata wanaowajibishwa kama makafara na bunge, bado ikifika kwake anawalinda na kuwasafisha!. Hii ni nini?

Ccm must suffer forever in Gehenna.
 

Natumia imani katika chanzo cha anayoyoangea kwamba yanatokana na maafikiano ndani ya UKAWA na chama chake. Na kwa msingi huo, ninazidi kuamini watazidi kumwongoza na kumsupport kuwa kiongozi mzuri.

Kwa lugha nyingine, Sina sababu ya kutumia imani kwa kile amekithibitisha kwamba anafuata misingi ya UKAWA. Hilo liko dhahiri. Ambalo halijadhihirishwa ni kama anayasema hayo naturally kutoka ndani yake au anaongozwa na UKAWA. Katika hili, ninaamini anaongozwa na UKaWA kwa sababu ninakifahamu ChADEMA na misingi yake ya maamuzi.

The moment anaanza kwenda kivyake, hawampi muda. Nadhani hata wewe ni shahidi wa hili.

Jioni njema.
 

Uko sahihi sana na pia wananchi hatukuwa macho kama tulivyo sasa, mitandao haikuwa ikitumiwa kama inavyotumika sasa. . . . Ingawa haya hayawapunguzii jukumu lao la msingi la kuchimba habari. . . .

Kinachonisikitisha sasa ni baadhi yetu kuweka buffer ili viongozi wasifikiwe, tunavaa jukumu la kutetea kabisa viongozi wakati inatakiwa waachwe wao wajieleze mpaka waeleweke na wanaotaka kuwaongoza, mzee Lowassa aseme tu yanayoulizwa bora havunji katiba, Dr Magufuli wakati wa kampeni atakutana tu na Mv Dar na nyumba za Serikali. . . .waachwe wajieleze wao ndio wanajua ushiriki wao

Hii itajenga uwajibikaji watu watajiuliza mara mbili kabla ya kushiriki lolote, hii ikijengeka itashuka mpaka kwa watoto wetu. . . .Hili likiwezekana basi vibrant civilians ndio mtaji wa nchi katika kusonga mbele
 
Last edited by a moderator:
Mkuu kwanza tuwekane sawa. Lipumba amekimbia mwenyewe kutoka UKAWA na si kama timu UKAWA ilimtupa. Halafu hebu tuwe wakweli, hivi unashangaa mambo ya kusema uongo na kukana ''msimamo wa jana'' kwenye siasa za Tanzania? Au ni kwasababu unamwongelea mtu ambaye unaonekana kabisa humpendi? Basi nikuhakikishie bila kuwa na sifa hizo HUTAFAULU kwenye siasa za nchi yetu. Wanasiasa wetu karibu woooooooooote (labda asilimia 98) wanapima kwanza upepo wanapoona unakoelekea na wao ndio wanaelekea huko huko. Ni hii ni kwasababu wananchi wa Tanzania ni rahisi sana sana kurubuniwa.
 

If you insist sir. . . . .
 

Umemalizia vizuri sana andiko lako
 
Sijui huyu polepole ataongea nini sasa Lowassa akisimamia Katiba ya Warioba. Atamuunga mkono?
 
Sijui huyu polepole ataongea nini sasa Lowassa akisimamia Katiba ya Warioba. Atamuunga mkono?

Kama wanakubaliana kifalsafa basi atamuunga mkono iwapo sababu za kufanya hizo atazipata. . . .
 
Baada ya uchaguzi lowassa ataanzisha chama chake kitakachokua na mseto wa wale aliotoka nao ccm na baadhi ya aliyowakuta chadema,hiyo ndio long term plan yake,hiiya sasa ni short term plan tu,hutaki unaacha.
Hujui katiba ya Tanzania, otherwise usingesema haya.
 
Baada ya uchaguzi lowassa ataanzisha chama chake kitakachokua na mseto wa wale aliotoka nao ccm na baadhi ya aliyowakuta chadema,hiyo ndio long term plan yake,hiiya sasa ni short term plan tu,hutaki unaacha.

atafanya haya kwa kutumia katiba gani?
 
Yesterday, Mr Lowassa declared that Zanzibar would be given full autonomy under a new Union structure under his government.......game over for UKAWA......they can kiss this contest goodbye.......what a mistake!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…