Last edited by a moderator:
nipo mkuu.
Maisha bora kwa kila mtanzania chini ya ccm yamekuwa kiini macho.
Wakati wa kuwaondoa ndiyo huu
tusifanye ajizi.
Mungu mkubwa hatimaye wanachadema tunazungumza lugha moja na big show.
Hahahaha hakuna adui wa kudumu mkuu #UKAWA ndio habari ya town kali yao.
kafanya kazi wewe kama unashinda vijiweni unatengemea maisha bora unakufa masikini,ata obama angekuwa rais wa tanzania,
ukweli ni kwamba kichwani kwako kuna uji hakuna ubongo!!wewe kama ni wa kusini basi ni miongoni mwa wanafiki wa kweli,
sisi huku tunamsubili atwambie sumu alizompa mwakyembe na mwandosya alikuwa anataka kuwaua kwa nini?
"Upinzani wa kweli utatokea CCM". By Julius Kambarage B. Nyerere.
Wakati wake ndio huu!>
Nipo Mkuu.
Maisha bora kwa kila mtanzania chini ya ccm yamekuwa kiini macho.
Wakati wa kuwaondoa ndiyo huu
Tusifanye Ajizi.
Ukitoka Kagera Pitia na Tabora ndugu zangu bado wamealia masikio, usafiri wa reli baba riz kauua kwa kuwapa washkaji zake wale wahindi, maendleo hakuna imebakia sanamu tu ya Nyerere. Sijui ndiyo inayowapa ujinga!!!!!lowasa ukitoka kusini njoo Kagera sisi tunataka meli yetu
THE BIG SHOW
THE BIG SHOW huenda hii ndiyo post yako bora kabisa tangu nimekufahamu hapa JF.
Ukiacha mahaba ya udini utakuwa mtanzania mwenye tija kwa taifa lako na wamakonde wenzako.
Mhuuuuu.....siamini kama haya yameandikwa na The bigshow... kuna mtu kahack akaunti yake !!Naaam La mgambo limeliaaa...Tunatangaza vitaaa...
Dhidi ya wale waliokadhani kwamba wana hati miliki ya kuongoza taifa hili.
Lowasa mimi si mshabiki wa chama chochote kile ndan ya taifa hili..kwaufupi mimi nafahamika kama mfia dini..and i am much proud of that...
Mimi ni mfia dini..muhanga wa mfumo hovyo wa ccm pia ni mzawa na mzalendo mwanaharakati wa kupigania mustkabali bora wa wamakonde wenzangu.
CCM sisi huku kusini hatuna ham nayo...
Ndan ya miaka 50 ya uhuru mateso tuliyopewa na ccm hayaelezeki...
Tukikumbuka kipigo cha mwaka juz kisa tuh tunaihoji ccm stahiki na haki zetu za kunufaika na rasilimali yetu kwa kweli hatuna hamu.
Lowasa tunajua umedhulumiwa vingi..
Hata sisi tumedhulumiwa vingi.
Karibu sasa kupitia ukawa tuishikishe adabu ccm.
You will never walk alone on this.
CCM lazima tuiondoe by all means and by any means.
WAkATI NDIO HUUUU...