Lowassa ni mtaji au mzigo ndani ya CHADEMA?

Lowassa ni mtaji au mzigo ndani ya CHADEMA?

MASIGA

Senior Member
Joined
Aug 29, 2015
Posts
130
Reaction score
281
Mwaka 2015 wakati aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa Dkt. Wilbroad Peter Slaa anaondoka katika nafasi yake na chama hicho alisema hivi:-

“Niliwauliza wenzangu Lowassa anakuja ndani ya CHADEMA kama mtaji au mzigo, yaani kwa lugha ya kiingeza ni asset au liability?"

Kwa uonavyo sasa, jibu lako lingekuwa lipi hapo?
FB_IMG_1537272098989.jpg
 
Mwaka 2015 wakati aliyekuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Taifa Dkt. Wilbroad Peter Slaa anaondoka katika nafasi yake na chama hicho alisema hivi:-

“Niliwauliza wenzangu Lowassa anakuja ndani ya CHADEMA kama mtaji au mzigo, yaani kwa lugha ya kiingeza ni asset au liability?"

Kwa uonavyo sasa, jibu lako lingekuwa lipi hapo?View attachment 869964
Chadema hats akija Trump au Putin watakuwa ni liability kwa kuwa kile chama ni Mali ya MTU binafsi aitwaye Mtei!
 
Ukitaka kujua n asset au liability Angalia kipind Dr slaa alivokuwa chadema alafu Angalia kipind lowasa yupo chadema yup mzigo apo
 
Ukitaka kujua n asset au liability Angalia kipind Dr slaa alivokuwa chadema alafu Angalia kipind lowasa yupo chadema yup mzigo apo
mzigo hana lolote kuna watu wako nyuma yake wanameza pesa yake ndio hao wanamdanganya aendelee kupiga siasa Mwanae alichukuliwa fom agombee akajitoa anajuwa Baba yake kwa sasa hana lolote tena. et lowasa na monduli kwani yake ile kapiga kelele mwisho hoolaaaa.
 
mzigo hana lolote kuna watu wako nyuma yake wanameza pesa yake ndio hao wanamdanganya aendelee kupiga siasa Mwanae alichukuliwa fom agombee akajitoa anajuwa Baba yake kwa sasa hana lolote tena. et lowasa na monduli kwani yake ile kapiga kelele mwisho hoolaaaa.
Ndohivo Sasa shetan Hawez Kuwa malaika
 
Wewe mleta mada hujipendi!!!! Ngoja makamanda waje unamsema vibaya mamvi wao,watakupalamia kama mwewe.Si unajua siku hizi kwao ukweli ni sawa mafuta na maji havichangamani.
 
Mbona hili swali 2015 halikuwepo?

Kama mtu mwenye fikra kipindi kile chadema na lowasa wanapata wabunge wengi walau baadhi ya taasisi zilikuwa kati wizi ulikuwepo wa aibu sio kama sasa hivi mtu anatangaza hadharani nakulipa posho,mshahara na gari halafu unatangaza mpinzani kashinda hivi unategemea hao watetea matumbo yao watakuwa against hiyo kauli?

Ifike hamali maswali ya kijinga tuyaache lowasa ni mtaji ndani ya chadema ila kwa sasa tume ya uchaguzi ,jeshi la polisi na mahakama vimeungana na ccm kutekeleza matwakwa ya bosi wao anaewapa chakula.
 
Ukweli mchungu lazima Wapinzani tuuseme, Jamaa hana elements za kiharakati na sasahivi kwa hali ilivyo tunahitaji Wapinzani ambao ni wanaharakati.

Lowassa alikuwa Asset kipindi kile ila kwasasa hakuna kitu pale sio wa kumtegemea tena katika harakati za kuyang'oa maccm.

Ukweli lazima usemwe.
 
..siyo mtaji wala mzigo.

..EL amechoka and he is not active in politics.
 
LOWASA NA MBOWE NI MAZIGO YA MA...V. ONDOENI HAWA WATU HARAKA.
 
Mbona hili swali 2015 halikuwepo?

Kama mtu mwenye fikra kipindi kile chadema na lowasa wanapata wabunge wengi walau baadhi ya taasisi zilikuwa kati wizi ulikuwepo wa aibu sio kama sasa hivi mtu anatangaza hadharani nakulipa posho,mshahara na gari halafu unatangaza mpinzani kashinda hivi unategemea hao watetea matumbo yao watakuwa against hiyo kauli?

Ifike hamali maswali ya kijinga tuyaache lowasa ni mtaji ndani ya chadema ila kwa sasa tume ya uchaguzi ,jeshi la polisi na mahakama vimeungana na ccm kutekeleza matwakwa ya bosi wao anaewapa chakula.
lowasa ni mtaji chadema, bali police na tume ni mtaji wa ccm. Hiyo ni tafakuri yakinifu.
 
Back
Top Bottom