Sasa wale waliokuwa wanapinga kwamba lowassa kutumia ndege ni anasa wajitokeze basi hapa,hauoni jamaa kwa siku moja tu anamaliza mikoa hadi mitatu? Ingekuwa gari si ingekuwa ni shida? Ndio maana wamerekani waliona mapema mtangaza nia yeyote lazima kwanza awe bilionea(Tsh).