Lowassa na team yako, karibuni UKAWA

Lowassa na team yako, karibuni UKAWA

Pelham 1

JF-Expert Member
Joined
Feb 29, 2012
Posts
548
Reaction score
100
Lowassa na Team yako karibu sana Ukawa najua Maccm wanakuhofia sana ndio maana wakakata jina lako mapema na si ccm tu hata sasa sisi wenyewe team Ukawa ulikuwa unatumiza vichwa sana njoo Ukawa ujisafishe na utupe maboko ya ccm tuwamwage mwaka huu nakuweka historia ya chama pinzani kushika dolla.
 
Fisadi ni Fisadi tu Lowasa hasafishiki ni bora habaki huko huko ila kama akitaka kuingia UKAWA atubu hadharani dhambi zake zote pia na kumuomba msamaha Mwakyembe kwa yale aliyofanyiwa hapo UKAWA watampokea kwani atakuwa amejitakasa mbele ya muumbs.
 
Fisadi ni Fisadi tu Lowasa hasafishiki ni bora habaki huko huko ila kama akitaka kuingia UKAWA atubu hadharani dhambi zake zote pia na kumuomba msamaha Mwakyembe kwa yale aliyofanyiwa hapo UKAWA watampokea kwani atakuwa amejitakasa mbele ya muumbs.

Umesahau mara hii? Mwakyembe alishasema hana bifu na mtu. Wee vipi?

Sitta aliwahi sema yeye, Mwakyembe na Magufuli wanaunda kundi lao. Na kweli kundi lao limefanikiwa...
 
Akitaka kujimaliza kisiasa ahamie UKAWA, namshauri abakie hukohuko.
 
Nimeipenda hii Sitta,Mwakyembe na Magufuli..Magufuli aje aanze na hao then wafuate akina Fliiku njombe hata prof Muhongo hakua mbaya sana ila ajali ilimkutan..na wemgine,nasikitika sana kudhoofu kwa mama Kilango malecela!angefaa kundi lao
 
Back
Top Bottom