Wakati lowasa akiwa waziri mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sijui kama alifika zanzibar na kama alifika kwa sherehe za mapinduzi ya zanzibar.
Hivi karibuni nimekuwa nikiona habari akitembelea zanzibar sehemu mbalimbali, wazee wa zanzibar akiwatembelea mawaziri wastaafu pamoja na maraisi na miradi ya zanzibar.
Wakipa urais halafu ndio wa kwanza kuikandamiza zanzibar na watu wake, kuwatisha vile vile, wamesahau bunge la Katiba walivyo watisha wazanzibari waka ufyata
Wakipa urais halafu ndio wa kwanza kuikandamiza zanzibar na watu wake, kuwatisha vile vile, wamesahau bunge la Katiba walivyo watisha wazanzibari waka ufyata
..hivi ulitegemea Mkapa amtupe Dr.Salmini ktk wizi wake wa kura za uchaguzi wa 95?
..mpango wenyewe uko hivi: Mznz anamsaidia Mtanganyika kupita kinyanganyiro cha CCM, halafu Mtanganyika anamsaidia Mznz kuiba kura za uraisi na uchaguzi mkuu wa Znz.
..usifikiri kwamba wa-Znz wanakandamizwa tu na wa-Tgk bila ya kuwepo wa-Znz wanaoshiriki na wanaofaidika na ukandamizwaji huo.