Lowassa kwa Tanzania ya sasa!

nionyeshe sehemu nilio andika am gonna vote for magufuli!!!
By the way niko huku not because eti mimi kilaza, but please go to Las Vegas University then check out admission qualifications, afu unambie mimi na wewe Nani kilaza!!!!
 

Ni vizuri pia tujue kuishi kwa busara, vijana wengi mapenzi yanawapotezea upeo wa kufikiri na kuchanganua mambo muhimu katika maisha, na kujikuta ama wanaandika au wanafanya vitu kwa mihemko na kupoteza kumbukumbu, kumbuka ewe kijana yoyote, kila unachofanya katika maisha au kwenye mitandao ya jamii, kinasadifu upeo wako, kuwa makini kwa faida yako kwan maisha yako ni wewe mwenyewe ndiye unayatengeneza. Asante
 

Rafiki, urais ni tasisi. Lowasa hatafanya kila kitu mwenyewe. Atakuwa kwenye system mpya. tatizo LA tanzania kwa sasa ni mfumo. Ikibadilika system twaweza hats kupata katiba ya wananchi ambayo ccm hawaitaki.
 
Rafiki, urais ni tasisi. Lowasa hatafanya kila kitu mwenyewe. Atakuwa kwenye system mpya. tatizo LA tanzania kwa sasa ni mfumo. Ikibadilika system twaweza hats kupata katiba ya wananchi ambayo ccm hawaitaki.

Hapo ndipo mnaponifurahisha maana hata UKAWA imetokana na umoja wa vyama vilivyojitoa kwenye bunge la katiba na sababu moja wapo ni Madaraka makubwa aliyolimbikiziwa rais. Sasa hivi bado inatumika katiba ya zamani ambayo rais ana madaraka makubwa zaidi na bado unatwambia eti URAIS NI TASISI! au ndiyo hayo mahaba yanawafanya muwe wepesi wa kusahau?
 



Zamani kijana akipotoka tukimwambia alikuwa anashukuru na kubadilika ila sasa kijana akikengeuka ukamwambia atakufurumushia matusi hadi ushangae....ni vijana wetu hawa wa goli la mkono tutafanyaje!
 
Una malaria sugu. Tumepoteza bei gani kwa skendo ya escrow, Kiwira, EPA nk leo unaona tatizo ni LOWASA tu? kiufupi tutamchagua na kamwe haturudi nyuma.
 
Una malaria sugu. Tumepoteza bei gani kwa skendo ya escrow, Kiwira, EPA nk leo unaona tatizo ni LOWASA tu? kiufupi tutamchagua na kamwe haturudi nyuma.

That's lazy mind!!!
 
2010 rais jk alimsimamisha lowassa akiwa amemshika mkono na kuwaambia wananchi wa monduli

kuwa lowassa siyo fisadi kilichotokea ni ajali kazini.

Pia alisema lowassa ni mchapa kazi sana halinganishwi.wewe ni nani leo useme ni fisadi na siyo mchapakazi?
 

Hivi wewe ubongo wako uko vipi? Mbona ngumu kuelewa? Ama ni hali ya maisha? Even though you elect him expect nothing!!!!
 
Tunamchagua fisadi na tajiri tunayemjua kuliko kuchagua anayejifanya safi na masikini kumbe ni fisadi, mwizi na jambazi tunayemjua na tutakayemjua!!!! Lugha hii ni ngumu ila wanaoelewa wataelewa.
 
47pro utake usitake vijana walioitwa wapumbavu na malofa wote kwa ubora wao tayari wamesema kura zao kwa ukawa na lowassa. fisadi ni wewe unayeona chama chenu kimewapitisha wagombea waliopokea rushwa ya mabilioni na wale waliokamatwa na takukuru wakigawa rushwa. nyie ndio mmelogwa manake kila siku hamna jipya lowassa. Kataa ukubali Lowassa ni sauti ya Mungu na atazoa kura nyingi za wapiga kura. ninyi waiteni wanamuziki kwa makundi wafanye matamasha sisi tunafanya mikutano ya kampeni.
 

Diablo Lowassa de mello Gandhi, Hahaha, guys you ain't convincing either!!! Save ur economies!!!
 
Tunamchagua fisadi na tajiri tunayemjua kuliko kuchagua anayejifanya safi na masikini kumbe ni fisadi, mwizi na jambazi tunayemjua na tutakayemjua!!!! Lugha hii ni ngumu ila wanaoelewa wataelewa.

No such thing
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…