Nyie mliotumwa na membe acheni hizo.......unaweza kukopa agaist the project....nenda kwa banker wako akuambie....,kinachotakiwa tu uwe na biashara na uwe mtu unayeaminika .,,biashara yako iwe na uongozi imara....mahali unapojenga pawe na title etc......chukulia mfano uwe na site pale posta ..na uwe na business plan inayoeleweka unapata pesa ...msipotoshe watu!!!....that CBD is very lucrative site...na mikopo kama hiyo unaweza kukopa mabenki makubwa makubwa[merchant banks]...sio hizi baadhi ya benki zetu ila ni benki kubwa [investment banks]
....those are called syndicate loans ....kiasi kama $45 million unaweza kuchukua...benki kama tatu zikaungana kukukopesha..ie crdb,stanbic,stanchart,rasilimali,nmb etc......maana kwa level ya tanzania benki zetu kubwa ndio hizo na hata hizo kiasi cha $45 m ni kikubwa......au unaweza kukopa kupitia kwa benki za kimataifa zilizoko nchini kupitia kwa holding banks zao[ie Barclays banks plc etc...]...pia world banks na commonwealth finance[IFC] wana kiteNGo cha mikopo mkikubwa aina hii.....
SHARTI LAO KUU NI KUWA WAO NDIO WATAKUWA WANASIMAMIA MASUALA YA FEDHA HADI MRADI UISHE.....IKIWEMO KUFANYA VALUE FOR MONEY AUDIT MARA KWA MARA....NA JENGO LIKIISHA WANEWEZA KUWEKA PROPERTY MANAGER akakusanya ushuru kutokana na makubaliano ya makato na kiasi kingine unabaki nacho...hadi mkopo uishe ....au kama una uwezo wa kulipa kupitia biashara zako nyingine thats another point....
So naombeni ondokaneni na mawazo ya kuwaogopa watu wanaofanya miradi mikubwa ...mkadhani na nyie hamuiwezi.....na kubaki kulalama.......hakuna mfanyabiashara mwenye uwezo wa kujenga jengo la bilioni 70 kwa kuchukua pesa uvunguni mwa kitanda kama ambavyo tunajenga vibanda vyetu vya room 3 ,bila financing!!....ikitoke hivyo lazima hata INTERPOL na watu wa CIA / FBI anti money laundering watashtuka tu....
Kweli wadanganyika tuna kazi.
Lowassa et al. (Chenge, nk) pesa wanazo tayari na ziko nje ya nchi. Swali tunalotaka kujiuliza tuzirudisheje? Phillemon Mikael anajaribu kwa kadri ya uwezo kuelimisha faida ya hili swala watu hatuelewi.
Nenda Kenya, kuna makampuni Mengi mpaka mabenki yanamilikiwa na familia ya Kenyata. Hebu Jiulize unafikiri Tanzania viongozi wetu hawana hela za kutosha kuleta nchini? Ni matajiri sana hawa!!!!!!
Mambo yale yale, hala la EPA zilikuwa zinasuasua BOT mpaka wajanja wakaamua kuzichota hali hatuna mashule, mahospitali, nk; Ni sawa kabisa na hili waacheni wazilete hela kwani inaelekea zipo nyingi tu huko nje zimekaa tu. Wakifa hawa zitabaki huko huko!
Watanzania tuamke tuache unafiki, huu umetufikisha hapa tulipo.
Ahasante!
NilikuWa Geneva last time ...banker mmoja akaniambia namna watoto wa Mobuto...na hata serikali ya Zaire[congo] wanavyopata taabu ku claim pesa za baba yao....wa swiss wametuibia sana ...jaamaa aliniambia pesa zilizopo kwenye mabenki yao ambazo beneficiaries wanashindwa kuzi claim ni billions of usd.....beleave me....!!! nikamuuliza ..je kuna viongozi wa kitanzania waliokufa wakaacha pesa kwenye coffers zao ...aakacheka!!!...nikamkumbuka marehemu Amir Jamal......
WA Swiss ni wasiri sana ...lakini mlolongo wa kudai pesa pale kiongozi au mwenye pesa anapofariki ni mgumu sana....akaunti nyingi za siri hazina majina wala picha ,zina password ....na funny questions and answers.....na kila mwenye secret account anakuwa assigned secret banker wa kumtafuta wakati anapotaka kufanya transaction....beleave me mapesa ya kina sadam,king hussein,bokkasas...na wote mnaowajuwa yako huko....waliopinduliwa hawakuweza ku claim pesa zao......kuna viongozi wachache ambao pale walipoona afya zinakuwa mgogoro waliweza kuhamishia pesa kwenye aakaunti za watoto wao au kuwapa access....lakini wengi wameliwa jamani!!!
Ndio maana viongozi wajanja kama kina Moi,jaramogi,kenyatta etc wakaona huu ni ujinga....wakawekeza pesa zao zote ....Kenya.......
Nawahakikishieni watanzania value ya corruption tangu uhuru ingetumika kama stimulus kwenye nchi yetu .....tungeona maajabu kabisa.....siongei haya kwa kuwa naunga mkono UFISADI....bali naongea hali halisi...wazee!!!
Jiulizeni pesa za EPA tumefaidika nini ? hazijarudi....kama ilivyoahiwa na yale majizi yamezikimbizia DUBAI ,,,...kununua majumba....tumefaidika nini??..
Kwa hiyo basi corruption katika nchi sio kitu kibaya.... mradi fedha zake zitumike kuwekeza pale kwenye nchi corruption ilipofanyaika!!!! ufuuu nimechoka ....NilikuWa Geneva last time ...banker mmoja akaniambia namna watoto wa Mobuto...na hata serikali ya Zaire[congo] wanavyopata taabu ku claim pesa za baba yao....wa swiss wametuibia sana ...jaamaa aliniambia pesa zilizopo kwenye mabenki yao ambazo beneficiaries wanashindwa kuzi claim ni billions of usd.....beleave me....!!! nikamuuliza ..je kuna viongozi wa kitanzania waliokufa wakaacha pesa kwenye coffers zao ...aakacheka!!!...nikamkumbuka marehemu Amir Jamal......
WA Swiss ni wasiri sana ...lakini mlolongo wa kudai pesa pale kiongozi au mwenye pesa anapofariki ni mgumu sana....akaunti nyingi za siri hazina majina wala picha ,zina password ....na funny questions and answers.....na kila mwenye secret account anakuwa assigned secret banker wa kumtafuta wakati anapotaka kufanya transaction....beleave me mapesa ya kina sadam,king hussein,bokkasas...na wote mnaowajuwa yako huko....waliopinduliwa hawakuweza ku claim pesa zao......kuna viongozi wachache ambao pale walipoona afya zinakuwa mgogoro waliweza kuhamishia pesa kwenye aakaunti za watoto wao au kuwapa access....lakini wengi wameliwa jamani!!!
Ndio maana viongozi wajanja kama kina Moi,jaramogi,kenyatta etc wakaona huu ni ujinga....wakawekeza pesa zao zote ....Kenya.......
Nawahakikishieni watanzania value ya corruption tangu uhuru ingetumika kama stimulus kwenye nchi yetu .....tungeona maajabu kabisa.....siongei haya kwa kuwa naunga mkono UFISADI....bali naongea hali halisi...wazee!!!
Jiulizeni pesa za EPA tumefaidika nini ? hazijarudi....kama ilivyoahiwa na yale majizi yamezikimbizia DUBAI ,,,...kununua majumba....tumefaidika nini??..
Kama ana-invest hapahapa Bongo haina shida. Mwache aendelee. Wanaoniudhi na Rostam na Manji wanao-invest nje ya nchi. Hao ndiyo wa kufa nao.
Mi naona ni bora kaamua kuingiza utajiri wake kwenye mzunguko wa uchumi wa tanzania ambayo itafanya wananchi wafaidi na pia uchumi utakua.
Kama mafisadi wote walioiba hela za watanzania wataamua kuzirudisha kwenye mzunguko kwa hali hii uchumi utakua sana ila wale wenzangu na mimi kama chenge wanaoweka hela kwenye account za ulaya bila faida yoyote kwa watanzania wanafaa wafungiwe jiwe la kusaga nafaka na kutupwa baharini.
Kwa hiyo basi corruption katika nchi sio kitu kibaya.... mradi fedha zake zitumike kuwekeza pale kwenye nchi corruption ilipofanyaika!!!! ufuuu nimechoka ....
Kwa mujibu wa gazeti la DIRA la leo toleo la Novemba 29 - Desemba 5, 2010, waziri mkuu wa zamani aliyejiuzulu kwa kashfa ya ufisadi ya Richmond, Edward Lowassa, amebomoa jengo la kihistoria la Nyumba ya Sanaa pale karibu na Movenpik Hotel Dar city centre na sasa atajenga gorofa 25 kwenye eneo hilo.
Kwa mujibu wa gazeti hilo, mradi huo utagharimu dola za kimarekani $45.5 million, sawa na takriban shilingi bilioni 70!.
Mradi huo wa jengo unajengwa kupitia kampuni ya Lowassa inayoitwa Integrated Property Investment (Tanzania) Limited.
Kuna tuhuma kuwa huu ni mradi wa kifisadi. Wasanii walilalamika mpaka Ikulu kwa Kikwete kujaribu kuzuia Nyumba ya Sanaa isivunjwe na kampuni ya Lowassa wakashindwa.
Kampuni hiyo ya Lowassa ndiyo iliyohusika na kashfa ya kununua nyumba huko London kwa karibu shilingi bilioni 1. Kwa mujibu wa gazeti la RAIA MWEMA la wiki iliyopita, mtoto wa Lowassa, Frederick, anachunguzwa na polisi wa Uingereza kutokana na kashfa hiyo.
* Je, Lowassa ambaye maisha yake yote amekuwa civil servant ametoa wapi 70bn/- kujenga gorofa hilo?
* TAKUKURU inasemaje kuhusu utajiri wa kutisha wa PM huyu wa zamani haswa baada ya yeye kuhusishwa na ufisadi wa Richmond na baadae TAKUKURU kumkosha?
* Huyu ndiye mtu anayetaka kuwa Rais baada ya Kikwete 2015 "by any means necessary" kwa kushirikiana na Rostam Aziz, Andrew Chenge, Nazir Karamagi, Yusuf Manji, Yusuf Makamba, Kingunge Ngombale Mwiru, etc. Nchi hii ya Mwalimu Julius Kambarage Nyerere itapona kweli?
Lol Tanzania tuna secret service? Serikali ya Tanzania ikitaka hela zote zilizotoroshwa nje ya nchi isivyo kihalali zirudishwe zitarudishwa tu.Wakuu mnielewe...jina la panya ni panya wala sio sili....RUSHWA NI MBAYA NA NI ADUI WA HAKI...DUNIA YOTE INAPAMBANA NA RUSHWA......Na ni kazi ya serikali kuweka intergrity system ya kutosha kupambana na rushwa....lakini kama ilivyo benki wakati wa kufanya credit rating huweza kutoa mkopo na ilatokea deni kujeuka acid...au bad debt....kazi ya benki ni kuminimise risk ya kupata wadaiwa sugu au mufilisi...lakini that is not a guarantee kuwa the bank will never experience bad debts...
The same to TAKUKURU Kazi yao ni kuminimise to a single degit percent ..uwezekano wa ufisadi kutokea nchini ........lakini that does not mean that they are jesus or mohamed SAW...patatokeo matukio ya ufisadi....LAZIMA NCHI IWE NA MFUMO WA KU TAP BACK PESA ZA UMMA ZINAZOPOTEA KUTOKANA NA UFISADI...KUNA NJIA MBILI.....au tatu.
1] KUTAIFISHA [we have proved failure tangu enzi za uhujumu ,1967,hata juzi EPA hatukuweza kufanikiwa kuzitaifisha au kufanya zilipwe]-madhara yale waliobaki wote watazitorosha au kuharibu...watu miaka ya uhujumu walikuwa wanachoma ma godown..au kutupa..
2]KUZIACHIA ZIRUDI KWENYE MZUNGUKO WA FEDHA [....Blind eye...hapa serikali inakuwa inajuwa lakini inaaangalia kwa karibu....-role ya secret service...kuhakikisha pesa hazitoroshwi]...njia rahisi ya kuachia pesa zirudi ni uwekezaji
3] Kuwashitaki mahakamani.....moja kwa moja .[inaitwa tukose wote....mtu afungwe]
Tukifanikiwa kuzirudisha pesa zote zilizoibiwa kwenye mzunguko na hapo hapo kuziba mianya ya rushwa tutaweza kupunguza hasara
I guess that might not be true.!!! Hao Dira ni source ya kuamninika??
Tujifunze kuheshimu watu si kuchafuana tu. Agghhh!! [/QUOTE]
Easy! Siku zote mnataka source, source zikija mnaingia mitini na kula mawe.
Hebu fikiria wewe mwenyewe umeweka neno Guess, sasa kama huna uhakika kwa nini unaandika??
Ni nini kinakutuma kuguess???
Do you have any thing to lose in such a way you have to guess it might not be true??
Au wewe ni Lowassa? Kijana wake? Mke wake?
Unadhani kuguess kunaweza kuwa point ya nguvu ya kumwambia mtu ajifunze kuheshimu watu???
Be sensible before you spring in.
ama kweli nji yetu masikini