Ni kweli kabisa ICU yatakuwa ndo makao yake.Atakua hapa
![]()
Hii room inasubiri Lowasa
atakwenda msituni
Wanajamvi naomba mnisaidie hasa hasa wana ccm je unaruhusiwa kurudi jimboni kwako endapo ukibwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mgombea urais ndani chama?
Yes ,ataenda kuchunga ng'ombe wake 800!Wanajamvi naomba mnisaidie hasa hasa wanaCCM. Je, unaruhusiwa kurudi jimboni kwako endapo ukibwagwa kwenye kinyang'anyiro cha kumsaka mgombea urais ndani chama?