Nyie mambutwai sana tena wakupindukia ,CCM hata waweke punda au jibwa watashinda ,najua mlichokikosa katika kuchanganua kwenu ni kitu gani hawa MaCCM wanaibuka washindi ,hivi ukiwa na refa anakusaidia kwa kila hali yaani hata ukifunga kumfunga yule anaemsaidia anakwambia umeotea.
Tume ya Uchaguzi ndio inayoibeba CCM ,hakuna asiejua wala kufahamu tokea uchaguzi wa Vyama vingi CCM haijawahi kushinda sehemu yeyote ile hapa Tanzania hususan Zanzibar ,ndio hapo hata wakiweka jibwa basi CCM wataibuka videdea.