Lowassa kama Yesu, sasa kuleta Ukombozi rasmi

Lowassa kama Yesu, sasa kuleta Ukombozi rasmi

Jay One

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2010
Posts
18,535
Reaction score
20,710
Lowassaaaaaa, kila la kheriiii babaaa

✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌
 
Lowassaaaaaa, kila la kheriiii babaaa

✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌

Kabisa.... Lowassa ni Joshua...
 
Lowassaaaaaa, kila la kheriiii babaaa

✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌✌

ndio nini sasa au ndio kukurupuka usingizini!!!!!????
 
Kwan anaweka mambo hadharan lini maake Mwz na kanda nzma ya ziwa imi barabrani kumpokea RAIS WA JMT.
 
Mbona mwenyewe yuko kimya!


Siku mwana wa adamu atakapokuja hutajua saa wala siku, ww kaa tayari kukombolewa....siku za ukombozi zimewadia, kaa tayari tu
 
Oooohhh parapandaaa italia parapandaaa...kumlaki bwana Lowassa mawinguni...oooohh parapandaaaaaaaa, italiaaaa parandaaaaaa🔊🔊🔊📣📣📣🎉🎉🎉🎵🎵🎶🎶🎶🎶
 
Acheni hutani na imani za watu jamani.

YESU hafananishwi kama mfanyavyo,

Fanyeni siasa zenu pasi kugusa imani za watu, tafadhali sana sana.
 
Ukawa hawawezi kufanya huo upuuzi wa kutaka kumfananisha binadamu Lowassa na Jesus Christ.

Si unakumbuka namna yule Mwenyekiti wa chama chao cha magamba wa ule mkoa ulio na wakazi wengi hapa TZ namna alivyotelezesha ulimi wake na kumfananisha EL na yule nabii fulani?

Sasa unaona mambo yaliyomtokea kwenye chama chake?

Jina lake lilikatwa na likashindwa hata kuingia kwenye 5 bora.

Wakati mwingine matamshi ya wafuasi wa baadhi ya wagombea kutokana na mihemuko yao ya kuwashabikia wagombea wao.

Matamshi yao wakati mwingine huwa 'yanapitiliza' hadi kuwasababishia 'laana' wagombea wao
 
Unamfananisha Lowasa na Yesu yupi? Kama ni yesu mwingine sawa lkn,kama ni Yesu Kristo lazima utakuwa na ujinga uloliopitiliza yaani upumvavu kichwani mwako. Ni lini lowasa alikufa na kufufuka kwaajili ya wadhambi? Acha kukufuru!!
 
Oooohhh parapandaaa italia parapandaaa...kumlaki bwana Lowassa mawinguni...oooohh parapandaaaaaaaa, italiaaaa parandaaaaaa🔊🔊🔊📣📣📣🎉🎉🎉🎵🎵🎶🎶🎶🎶

Ni mtu aliyepagawa na mapepo tu ndo anaweza kupost umbavu kama huu?
 
Uliyopost huna akili kabisa na kama unayo basi hujui kuitumia.Lowasa km Yesu?Never Ever.Yesu ni Mungu,Lowasa ni mwanadamu tuuuuuu ht hamkaribiiiiii.Moderator futa hii post ya kijinga kabisa
 
Unamfananisha Lowasa na Yesu yupi? Kama ni yesu mwingine sawa lkn,kama ni Yesu Kristo lazima utakuwa na ujinga uloliopitiliza yaani upumvavu kichwani mwako. Ni lini lowasa alikufa na kufufuka kwaajili ya wadhambi? Acha kukufuru!!

hahahaha, mbona wapo watu wengi tu wanaitwa Yesu. Ndiyo maana kwenye biblia anaitwa "Yesu wa Nazareti".

Jesus-Navas.jpg


Huyo mchezaji anaitwa Jesus Navas
 
Back
Top Bottom