erick13
Senior Member
- Aug 20, 2009
- 163
- 59
Habari wanajamvi. Napenda nianze na kusema Toka mh Lowassa kajiunga na CHADEMA mambo mengi sana yamebadilika...
Chadema ya leo hawatukani tena matusi wala kuleta vurugu kama mwanzo na badala yake wao ndio wanatukanwa na chama tawala matusi mbali mbali ikiwa ni pamoja na ya nguoni.
Chadema ya leo hawafanyi fujo hata pale haki zao zinapo kandamizwa na chama tawala.
Chadema sio chama cha kushutumu watu na kutumia ufisadi na rushwa kama ndio ilani au agenda yao kuu.
Aksante Mh Ngoyai na hii ni chadema niliyo iotaaa..
Chadema ya leo hawatukani tena matusi wala kuleta vurugu kama mwanzo na badala yake wao ndio wanatukanwa na chama tawala matusi mbali mbali ikiwa ni pamoja na ya nguoni.
Chadema ya leo hawafanyi fujo hata pale haki zao zinapo kandamizwa na chama tawala.
Chadema sio chama cha kushutumu watu na kutumia ufisadi na rushwa kama ndio ilani au agenda yao kuu.
Aksante Mh Ngoyai na hii ni chadema niliyo iotaaa..