OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 437
Wadau!!
Mpaka jioni ninapo andika uzi niseme kwa ufupi nimekuwa nikishuhudia mpambano unaendelea ndani ya chama cha mapinduzi ccm dhidi ya lowassa lakin mpaka sasa sioni wala sitegemei kama kuna upenyo ccm watapenya kumuepuka mh Lowassa.
Ni karibu miaka kumi sasa tokea lowassa alipojiuzulu lakin amekuwa kimya muda mwingi akipanga mikakati yake kwa umakini mkubwa bila kupiga kelele kama anavyofnya mzee wa kimyakimya,itakumbukwa ni hiv majuzi tu alichoma kodi zetu akaenda mpaka BBCshirika la habar la uingereza kutangaza nia yake ya kugombea nafasi ya kuingia magogoni.
Ukimya wa lowasaa umezidi kuwaumiza mahasimu wake kisiasa na kukosa ni namna gani watamshughulikia ili tu hakikisha wanampunguza nguvu mapema kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwakani,lakini Mungu si athumani lowassa amekuwa akikata mbuga kila panakucha na kuwatimuliwa vumbi mahasimu wake,Tanzania nzima sasa kila unapopita jina la lowassa limekuwa likitajwa kila pembe ya nchi huku wakiamini ndio mkombozi aliyesalia ndani na nje ya ccm.
N hivi majuzi tu makundi tofauti ya kijamii yamekuwa yakitoa maoni yao tofauti huku wengi wakisema jembe lilio bakia na litakalotutoa hapa tulipo tulipokwama si mwingine bali ni lowassa peke yake
Itakumbukwa ni majuzi tena rais mstaafu Mkapa alivyotoka hadharani na kutamka wazi hakuna mtu mwingine atakayeweza kyfnya maamuzi magumu zaid ya lowassa,mh mkapa alikiri kabsa kuwa kuwa mwenyekiti wa chama siyo kigezo cha kumpa uhalali wa kuchaguwa mtu anayemtaka bali wajumbe wa kikao ndio wenye mamlaka ya kuchaguea mtu wanayeona atatuvusha na kutukwamuwa hapa tulipo nasa
Mpaka jioni ninapo andika uzi niseme kwa ufupi nimekuwa nikishuhudia mpambano unaendelea ndani ya chama cha mapinduzi ccm dhidi ya lowassa lakin mpaka sasa sioni wala sitegemei kama kuna upenyo ccm watapenya kumuepuka mh Lowassa.
Ni karibu miaka kumi sasa tokea lowassa alipojiuzulu lakin amekuwa kimya muda mwingi akipanga mikakati yake kwa umakini mkubwa bila kupiga kelele kama anavyofnya mzee wa kimyakimya,itakumbukwa ni hiv majuzi tu alichoma kodi zetu akaenda mpaka BBCshirika la habar la uingereza kutangaza nia yake ya kugombea nafasi ya kuingia magogoni.
Ukimya wa lowasaa umezidi kuwaumiza mahasimu wake kisiasa na kukosa ni namna gani watamshughulikia ili tu hakikisha wanampunguza nguvu mapema kuelekea kwenye uchaguzi mkuu mwakani,lakini Mungu si athumani lowassa amekuwa akikata mbuga kila panakucha na kuwatimuliwa vumbi mahasimu wake,Tanzania nzima sasa kila unapopita jina la lowassa limekuwa likitajwa kila pembe ya nchi huku wakiamini ndio mkombozi aliyesalia ndani na nje ya ccm.
N hivi majuzi tu makundi tofauti ya kijamii yamekuwa yakitoa maoni yao tofauti huku wengi wakisema jembe lilio bakia na litakalotutoa hapa tulipo tulipokwama si mwingine bali ni lowassa peke yake
Itakumbukwa ni majuzi tena rais mstaafu Mkapa alivyotoka hadharani na kutamka wazi hakuna mtu mwingine atakayeweza kyfnya maamuzi magumu zaid ya lowassa,mh mkapa alikiri kabsa kuwa kuwa mwenyekiti wa chama siyo kigezo cha kumpa uhalali wa kuchaguwa mtu anayemtaka bali wajumbe wa kikao ndio wenye mamlaka ya kuchaguea mtu wanayeona atatuvusha na kutukwamuwa hapa tulipo nasa