masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya ALPHA na mfanyabiashara maarufu ambaye ni mwanasiasa maarufu na Waziri Mkuu mstaafu/aliyejiuzulu anaweza kuingia mtego wa Berlusconi wa Italia, endo TRA wataamua kumkagua kikamilifu.
Ni jambo la kwaida sasa na lilozoeleka kwa wanasiasa kuingia biashara, lakini si wengi wanaotoa mahesabu yao hadharani na jinsi wanavyolipa kodi kikamilifu kwa nchi husika.
Yaliyompata Berlusconi wa Italia, kinaweza kuwa kifumbua macho kwa wale wafanya biashara wanasiasa, hasa wanapotoka ulingoni.
Kwa Tanzania, je mheshimiwa Lowassa analipa kodi kikamilifu?
Ni jambo la kwaida sasa na lilozoeleka kwa wanasiasa kuingia biashara, lakini si wengi wanaotoa mahesabu yao hadharani na jinsi wanavyolipa kodi kikamilifu kwa nchi husika.
Yaliyompata Berlusconi wa Italia, kinaweza kuwa kifumbua macho kwa wale wafanya biashara wanasiasa, hasa wanapotoka ulingoni.
Kwa Tanzania, je mheshimiwa Lowassa analipa kodi kikamilifu?