Mgombea urais kutoka CHADEMA anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Mheshimiwa Edward N. Lowassa alilakiwa na MAELFU ya wananchi hapa Manispaa ya Tabora jana. Hii ni dalili la anguko kuu la CCM katika moja ya ngome zake kongwe nchini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.