Antonov 225
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 311
- 45
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Kageuka nn hapo
Kwani bado mnamuamini Lowasa kwa Sana'a zoteee anazotuonyesha jamani!
Hivi jamaii forum haina jukwaa la watoto wanaojifunza siasa?
Kwani bado mnamuamini Lowasa kwa Sana'a zoteee anazotuonyesha jamani!
Wewe ni mbumbumbu! Ndiyo sababu elimu inahitajika!
Polisi nao wapuuzi tu, wanajiona nao ni sehemu ya ccm.
Mi ni si mwanachama wa chama chama chochote ila nafikir kuboresha ni haki yake na wajibu wake kama kiongoz na kuwapeleka icc wavunja sheria pia ni wajibu wake kama kiongozi. Nina wasi wasi na uelewa wako.Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Wewe jamaa ni poyoyo sana
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Mi ni si mwanachama wa chama chama chochote ila nafikir kuboresha ni haki yake na wajibu wake kama kiongoz na kuwapeleka icc wavunja sheria pia ni wajibu wake kama kiongozi. Nina wasi wasi na uelewa wako.
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya polisi. Leo jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita icc kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda! Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
wewe ndiye unatatizo la kuconnect dots and sentences...nini kilipelekea akasema habari za ICC? mbona hilo husemi?
Akiwa kwenye mikutano yake ya kampeni ya awali alisema ataboresha maslahi ya Polisi. Leo Jijini Tanga amesema atawapeleka mahakama ya uhalifu wa kivita ICC kwa madai ya kuwanyanyasa bodaboda.
Hivi huwa anapoteza kumbukumbu or?
Ccm tunajidhalilisha sana. Kwa ni ni ndugu zangu mnashindwa kuelewa hata maswala yaliyo dhahiri?
Kuboresha maslahi hakuna maana ya kufuga uharifu.
Kushughulikia waharifu hakuzuii kuboresha maslahi.
Huo ndio utawala bora na utawala wa sheria.
Hatua za kisheria dhidi ya wahalifu, hazikinzani hata kidogo ya uboreshaji wa mazingira.
Unaposhughulikia wahalifu katika jamii, haina maana kwamba jamii yote uiingize kwenye hatia na adhabu.
Hao wahalifu wanaoshughulikiwa, ni binadamu pia ambao wanastahili kuboreshewa maisha yao na familia zao, lakini pia wanapaswa kuwajibika kwa makosa yao. Nani aliyesema hukumu ya mharifu ni kutokumpa haki yake?
Hii ni mentality iliyojengwa na jeshi la polisi chini ya ccm. Kwamba polisi anaweza kumpiga mtu na kumtesa mtuhumiwa hata kumdhalilisha. Serikali ya ccm inaweza wafungwa katika magereza mabovu yenyy hali hatarishi kwa maisha yao wakati mahakama haikuwahukumu kuishi maisha hatarishi.
Na hapa ndipo mwanzo wa kuona tofauti ya wenzetu UKAWA na sisi ccm. Tujaribu kujifunza kwa UKaWA. Tunapokurupuka na kuropoka ropoka tunawapa scores na sisi tunazidi kushuka chini kwamba hakuna tunalolielewa.
Kuboresha maisha ya Police Na makosa ya Police kwa Raia Ni vitu 2 tofauti, hata kwa akili yako ndogo umeshindwa kutofautisha Hilo?
Wewe ndiyo umepoteza kumbukumbu. Hakusema kuwa atawaboreshea maslahi kwa kutenda uhalifu. Jaribu kukumbuka
Acha uvivu Wa kuchambua mambo, kwa hiyo ulitaka awapongeze. Sijaelewa kwani mtu akimtendea mwingine isivyo anapongezwa et ehh. Tafakari chukua hatua.