Lowassa avamia mikutano ya CHADEMA Monduli

Acha uongo . Monduli Chadema haipo.
kweli umelowa, yaani uko ndembendembe, CHADEMA wamesimamisha wagombea wa serikali za mtaa pale Monduli sasa wewe unasemaje CHADEMA hawapo Monduli? Acha ushabiki wewe punguani, mbona mnakera kama jini? Yaani ccm ni lazima mukae mwaka huu, nyumbu nyie.
 

Kama anataka urais aache fujo za kitoto kwa kuwa zitamharibia sana. Yeye afanye mikutano ya kistaarabu kama anaweza vinginevyo ajue anajitafutia kuchafuliwa zaidi.
 
Chadema monduli? Hahahahah achen kutafuta maujiko hakuna anayeweza kusimama akaongea monduli zaidi ya lowasa
 
Sipati taswira nzur ktk sehem nying tz kuelekea 2015 general election, i can observe th criteria for th unfair election!
 
Ndiyo aina ya mtu ambaye watu wanashabikia awe rais wa nchi huyu ambaye hafuati utaratibu,mtemi,mbabe mwenye tabia za kidictator zinazoweza sababisha uvunjifu wa amani.Kama hawezi kufuata utaratibu mdogo tu huo uliowekwa na serikali ya chama chao chenyewe ana kila dalili ya kufanya vibaya zaidi ya hayo akipata madaraka makubwa zaidi.Kivyangu nashukuru Mungu sana kwa kuwa sijawahi kuona anafaa kuwa rais wa nchi pamoja na mshikaji wa Kikwete.
 
Hicho ni kiburi. Ata maandiko yanakataza. Huu ubabe ni kwa kuwa mhimili wa dola ameuweka mfukoni. Amesahau upo kwa kodi yetu. Tutammlilia mola atupe jinsi . yeye si mwisho
 
Chadema monduli? Hahahahah achen kutafuta maujiko hakuna anayeweza kusimama akaongea monduli zaidi ya lowasa

Bila shaka hii ndiyo post ya kimasikini na ya kichovu kupita zote kwa mwaka 2014 ! Very poor .
 
Bila shaka hii ndiyo post ya kimasikini na ya kichovu kupita zote kwa mwaka 2014 ! Very poor .

Poor ni ndugu zako walioko kijijini wakitegemea mvunje amani ya nchi yetu kwa madai mnatafuta haki,tunaitaji demokrasia ya kweli lakini chadema jipangeni tena sana!
 
Kweli unaijua vizuri ajabu hujagombea hata ubunge mwakani jaribu ukaungane na ashumta kabla hajatukabidhi Mali zetu
 
Poor ni ndugu zako walioko kijijini wakitegemea mvunje amani ya nchi yetu kwa madai mnatafuta haki,tunaitaji demokrasia ya kweli lakini chadema jipangeni tena sana!
Mapovu ni kielelezo cha kuelemewa na hoja .
 
Poor ni ndugu zako walioko kijijini wakitegemea mvunje amani ya nchi yetu kwa madai mnatafuta haki,tunaitaji demokrasia ya kweli lakini chadema jipangeni tena sana!

Kuvuruga ratiba ya kampeni iliyowekwa ndiyo demokrasia ya kweli? Huna tofauti na kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…